- Thread starter
- #21
Lkn yule wa kwa mchina mbona alikuwa kipenzi cha watu na demokrasia? Itakuwa huyu nahodha katengeneza "utawala mchanyato"Wanasema huyu nahodha haendeshi meli, ila meli inaendeshwa kutokea kule kunako mkataba wa mchina.....
Lkn yule wa kwa mchina mbona alikuwa kipenzi cha watu na demokrasia? Itakuwa huyu nahodha katengeneza "utawala mchanyato"Wanasema huyu nahodha haendeshi meli, ila meli inaendeshwa kutokea kule kunako mkataba wa mchina.....
Ni wehu na wajinga pekee waliomchukia JPM
Atakuwa anajaribu kukonga nyoyo za kila abiria waliomo ndani ya meli.....Lkn yule wa kwa mchina mbona alikuwa kipenzi cha watu na demokrasia? Itakuwa huyu nahodha katengeneza "utawala mchanyato"
Approach hii ya kutaka kufurahisha watu wote huwa inapelekea watu wengi kununa.Atakuwa anajaribu kukonga nyoyo za kila abiria waliomo ndani ya meli.....
Mataga mnamkufuru Mungu.....Gwaji Boy atamfufua arudi tena kuwa RahisiNahodha wa sasa hajui afanye Nini na chombo chaenda mlama.
Unadhani kila mtu humu ndani anaitikadi ya chama fulani?Mataga mnamkufuru Mungu.....Gwaji Boy atamfufua arudi tena kuwa Rahisi
Boli posesheni inaonyesha wapiga dili wanamiliki mpira kwa asilimia 80, wanyonge wana 20 percent...Approach hii ya kutaka kufurahisha watu wote huwa inapelekea watu wengi kununa.
Lazima achague upande ambao ataufanya unune ili wengi wafurahi.
Na kujambia wenzake pia.Punguza kushiba sana asubuhi, inapunguza upeo wa kufikiria.
Mimi sina ushabiki wa vyama.Unaidanganya nafsi, haya bhana
JPM hata Mungu alimchukia,akamnyakua😁Ni wehu na wajinga pekee waliomchukia JPM
Sema unaongea masikhala, kwani wote wanaochukuliwa na watakaoendelea kuchukuliwa hawapendwi na Mungu?JPM hata Mungu alimchikia,akamnyakua😁
SindoapoUnasemaje kuhusu JPM??
Ulimchukia wewe, sema hivyo!!!
Akiwemo yeyeSema unaongea masikhala, kwani wote wanaochukuliwa na watakaoendelea kuchukuliwa hawapendwi na Mungu?
Wewe ndio wajua....Unadhani kila mtu humu ndani anaitikadi ya chama fulani?
Mimi namheshimu sana kwa open mind yake na ustaarabu ambao naona ni kipaji,...Kwenye utendaji bado sina muda wa kutosha kutoa commentNahodha Wa sasa wengi tunampenda sana!
Ajihuzulu basiYule wa kipindi kilee, aliyependa kusafiri kama Vasco da Gama aliungwa mkono na walioitwa wanamtandao.
Na yule aliyekuwa akipenda kazi na kuongea kwa kujiamini sana aliungwa mkono na abiria waliouchukia ufisadi. Japo baadaye huyu nahodha alibadilika na kuwa katili asiyeelezeka. Akachukiwa na watu wote wakiwemo wa boti yake mwenyewe.
Lakini huyu wa sasa anaungwa mkono na nani? Kwanza kaingia kwa bahati mbaya. Na siyo siri tena kwamba kundi kubwa ndani ya boti yake mwenyewe halikumtaka awe nahodha. Sababu zilizotolewa na kundi hili ni mbili...1. Udhaifu wa kijinsia 2. Anatoka upande wa wachache.
Salama yake ilikuwa ni kuungana na wale wengi waliokuwa wakikwazwa na ukatili na majivuno ya yule nahodha aliyetwaliwa. Lkn pia angepatana na manahodha wa boti shindani.
Haya yangemsaidi kuzima figisu za ndani ya boti yake. Na kumpa uimara ktk unahodha wake
Lakini kwa kuwa kaingia kwa bahati mbaya, hapendwi hata na wale wa boti yake mwenyewe na anarudia makosa ya nahodha aliyetwaliwa basi anajiweka kwenye hatari ya kushindwa kazi mapema sana.