Mkyamise
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 454
- 555
Ukiona yafuatayo yanakuandama jitafakari:
1. Kutumwa tumwa na hata uliowazidi umri,
2. Kuombwa kuchinja, kukata kuni, kuosha magari, kutafuta ng'ombe/mbuzi wa kitoweo, n.k
3. Kutoshirikishwa kwenye maamuzi ya familia/ukoo,
4. Vikao vinaendelea wewe unawekwa busy kuandaa maakuli,
5. Kuombewa lift kirudi mjini,
6. Kufanyishwa kazi za nguvu zisizotumia akili,
7. Ongezeni....
1. Kutumwa tumwa na hata uliowazidi umri,
2. Kuombwa kuchinja, kukata kuni, kuosha magari, kutafuta ng'ombe/mbuzi wa kitoweo, n.k
3. Kutoshirikishwa kwenye maamuzi ya familia/ukoo,
4. Vikao vinaendelea wewe unawekwa busy kuandaa maakuli,
5. Kuombewa lift kirudi mjini,
6. Kufanyishwa kazi za nguvu zisizotumia akili,
7. Ongezeni....