Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
Nlipokuwa form one mwaka 2004 nlitokea kumpenda sana msichana fulan, nilimpenda sana tena sana, nilipojaribu kum-approach alinkatalia (naamin alinikataa kipindi kile kwa sababu alijiona mdogo) basi nikaamua kumfanya rafiki wa kawaida.
Tulipofika form three mwaka 2006 mimi nlihama shule na kuhama mkoa kabisa na kwa vile kipindi kile mawasiliano ya simu yalikuwa hayajaenea kwa kiwango kikubwa mikoani niliondoka bila contact zake, hiyo ilikuwa 2006!
Mwaka 2010
baada ya kumaliza form six nilibahatika kupata contact zake na tukawa tunawasiliana mara kwa mara, ila ukweli ni kwamba mimi bado nlikuwa nampenda sana na mpaka sasa nampenda sana.
Mwaka 2010 aliniambia kuwa ana mpenzi kitu ambacho nilijaribu kukielewa na kujipa matuman kuwa wataachana nami nitaweka jina, mpaka sasa bado hawajaachana! Mwaka huu uvumilivu umenishinda, pamoja na kujua kuwa ana mpnz nlim-approach, mwanaume nilibembeleza jumatatu ya wiki hii nikaeleweka nikakubaliwa, jumatano, binti kanitumia sms anadai eti hataki kuwa na mimi tena, kisa eti anajihisi mkosaji mbele za Mungu kwa hiyo hawezi kuachana na huyo mpenzi wake bila sababu yeyote.
Nikitafakar binafsi naona binti yuko sawa na binafsi naona kama simtendei fresh mshkaji, ila kwa upande mwingine namhtaji sana huyu binti kwa gharama yeyote ile nahisi nitakuwa na amani pamoja na furaha kama nikimuoa huyu binti ila kwa jinsi hali ilivyo kwa sasa najihisi nimezidiwa, wanajf plzzz nisaidieni, NIFANYE NINI?
Tulipofika form three mwaka 2006 mimi nlihama shule na kuhama mkoa kabisa na kwa vile kipindi kile mawasiliano ya simu yalikuwa hayajaenea kwa kiwango kikubwa mikoani niliondoka bila contact zake, hiyo ilikuwa 2006!
Mwaka 2010
baada ya kumaliza form six nilibahatika kupata contact zake na tukawa tunawasiliana mara kwa mara, ila ukweli ni kwamba mimi bado nlikuwa nampenda sana na mpaka sasa nampenda sana.
Mwaka 2010 aliniambia kuwa ana mpenzi kitu ambacho nilijaribu kukielewa na kujipa matuman kuwa wataachana nami nitaweka jina, mpaka sasa bado hawajaachana! Mwaka huu uvumilivu umenishinda, pamoja na kujua kuwa ana mpnz nlim-approach, mwanaume nilibembeleza jumatatu ya wiki hii nikaeleweka nikakubaliwa, jumatano, binti kanitumia sms anadai eti hataki kuwa na mimi tena, kisa eti anajihisi mkosaji mbele za Mungu kwa hiyo hawezi kuachana na huyo mpenzi wake bila sababu yeyote.
Nikitafakar binafsi naona binti yuko sawa na binafsi naona kama simtendei fresh mshkaji, ila kwa upande mwingine namhtaji sana huyu binti kwa gharama yeyote ile nahisi nitakuwa na amani pamoja na furaha kama nikimuoa huyu binti ila kwa jinsi hali ilivyo kwa sasa najihisi nimezidiwa, wanajf plzzz nisaidieni, NIFANYE NINI?