Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Ndugu wadau,
Nawaombeni kwa wale waliopitia shule ya Sekondari Kibohehe watukumbushe yale yaliyokuwa yanajiri kipindi hicho hasa miaka ya mid and late 80's. Mnakumbuka uhasama wa Kibohehe na Kolila Sec na nini matokeo yake? Vipi ikitokea kuna trip ya kwenda kucheza muziki na Sec za akina dada au wao waje Kibohehe? Mnamkumbuka TJ Martin, Visimbo vya kwa Masawe pamoja na miziki ya raggae je? Vipi Chief cooker mzee Jack, bila kumsahau yule mpiga chapa mwanaume sikumbuki jina lake kwa sasa, Mbege ya Kirikiri na Miwa kule Kware? Mwalimu Gentleman na msemo wake 'SICHEZI NA KUKU! Vipi Mbosho parishi na Sokoni kwa Sadala siku za Jumamosi! Mwalimu Ndano wa Physics bila kumsahau Machambizi na chupa yake ya gongo mfukoni! Banda la njiwa karibu na ofisi H/ Master bila kusahau mashamba ya kahawa ya Kibo na vyoo vya kuvulia mashati nje kutokana na harufu kali. Tukumbushane majina ya Mabweni kama KNCU, NIMERI, SAADATI, MOBUTU, NYERERE, HAILE SELASIE...., Ama kweli machozi yana....., nakukaribisheni wakuu kuchangia. Nini umekumbuka au kimekugusa?
Nawaombeni kwa wale waliopitia shule ya Sekondari Kibohehe watukumbushe yale yaliyokuwa yanajiri kipindi hicho hasa miaka ya mid and late 80's. Mnakumbuka uhasama wa Kibohehe na Kolila Sec na nini matokeo yake? Vipi ikitokea kuna trip ya kwenda kucheza muziki na Sec za akina dada au wao waje Kibohehe? Mnamkumbuka TJ Martin, Visimbo vya kwa Masawe pamoja na miziki ya raggae je? Vipi Chief cooker mzee Jack, bila kumsahau yule mpiga chapa mwanaume sikumbuki jina lake kwa sasa, Mbege ya Kirikiri na Miwa kule Kware? Mwalimu Gentleman na msemo wake 'SICHEZI NA KUKU! Vipi Mbosho parishi na Sokoni kwa Sadala siku za Jumamosi! Mwalimu Ndano wa Physics bila kumsahau Machambizi na chupa yake ya gongo mfukoni! Banda la njiwa karibu na ofisi H/ Master bila kusahau mashamba ya kahawa ya Kibo na vyoo vya kuvulia mashati nje kutokana na harufu kali. Tukumbushane majina ya Mabweni kama KNCU, NIMERI, SAADATI, MOBUTU, NYERERE, HAILE SELASIE...., Ama kweli machozi yana....., nakukaribisheni wakuu kuchangia. Nini umekumbuka au kimekugusa?