Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,955
- 122,248
''Na kwa ombi la viwanda, niwaombe wabunge walete wawekezaji waje wajenge viwanda na serikali itawapa support. Na tutampunguzia hata ushuru, tutampa hata eneo."
Alituahidi viwanda, sasa hivi anawaomba wabunge walete wawekezaji waje wajenge viwanda!
Hapa Malaika kaniacha mbali, nisaidieni kufafanua hiyo kauli.
Alituahidi viwanda, sasa hivi anawaomba wabunge walete wawekezaji waje wajenge viwanda!
Hapa Malaika kaniacha mbali, nisaidieni kufafanua hiyo kauli.