hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Habari wakuu.Mimi mwenzenu niliachana na maisha ya ukapera yapata mwaka mmoja na nusu sasa baada ya kufunga ndoa takatifu na my beloved.Pia nashukuru Mungu kuwa ninaishi vizuri na shemeji yenu/wifi yenu kadri mola anavyotujalia.
Nina rafiki yangu mmoja ambaye ambaye yeye anaishi na mwanamke takiribani mwaka sasa bila kufunga ndoa,siyo siri jamaa yangu ni kiwembe sana kuweka ndani na kuaacha yeye ni kawaida yake.Hata hivyo ni mambo ya shule ndiyo yaliniunganisha naye na tukawa marafiki vinginevyo tusingeelewa.Jamaa huyo tangu siku nyingi huwa ananitumia kusuruhisha migogoro yake na mademu wake, na mpaka sasa familia yake na yangu zimekuwa karibu kiasi kwamba hata wake zetu ni marafiki.Hivyo mke wa jamaa yangu huyo mara kadhaa amekuwa akiniomba nimushauri bwana yake wafunge ndoa na nimekuwa nikifanya hivyo mara kwa mara, lakini jamaa bado hajachukua uamuzi hadi sasa.Aidha jamaa pia huniomba kumbembelezea kwa mke wako mara wanapo tofautiana.Jamaa ni mlevi, lakini demu hanywi ,hivyo jambo hili limekuwa chanzo cha migogoro kila kukicha.
Kinachonishangaza siku za karibuni mke wa jamaa huyo amekuwa akinisimulia mapungufu mengi sana ya jamaa yangu ya kiwepo ya ndani mbaya zaidi, hata yale ya kitandani.Amefikia hatua anakuja kwangu kama kupiga story na wife lakini akitoka ananiandikia sms mimi kuwa aliniikumbuka hivyo alikuja kuniona,mara nyingine ananiita kwake kama vile anashida lakini nikifika anaanza kunieleza mambo yote wanayofanya usiku na jamaa; mfano kama jamaa amepiga game vizuri,au amepapsa tu ama hajapiga kabisa.Sasa kisa cha mwisho mke wangu alisafiri, shemeji yangu huyo( Hawala wa jamaa yangu) akaniita kwake nilipofika nilikuta anacheki BLUE VCD nilipongudua hilo nilikomea mlangoni nikajifanya ninaharaka,ghafla aliingia chumbani akatoka na kibaasha akanipa, nami nilitoka nacho mpaka home huku nikijua kuwa ndicho alicholuwa ameniitia.Nilipo fika nyumbani kwangu nilikifungua nikakuta kuna BLUE VCD, nikaingalia kidogo kisha nikamrudishia,akawa ananiulizia kama imenifurahisha au laa.Kusema ukweli tabia hizi sizipendi,hata hivyo naogopa kumwambia jamaa yangu waisije wakafarakana kwa ajili yangu hasa kwa vile anaonekana nampenda sana huyu demu.Je, mnanishauri nini wakubwa katika hili?
Nina rafiki yangu mmoja ambaye ambaye yeye anaishi na mwanamke takiribani mwaka sasa bila kufunga ndoa,siyo siri jamaa yangu ni kiwembe sana kuweka ndani na kuaacha yeye ni kawaida yake.Hata hivyo ni mambo ya shule ndiyo yaliniunganisha naye na tukawa marafiki vinginevyo tusingeelewa.Jamaa huyo tangu siku nyingi huwa ananitumia kusuruhisha migogoro yake na mademu wake, na mpaka sasa familia yake na yangu zimekuwa karibu kiasi kwamba hata wake zetu ni marafiki.Hivyo mke wa jamaa yangu huyo mara kadhaa amekuwa akiniomba nimushauri bwana yake wafunge ndoa na nimekuwa nikifanya hivyo mara kwa mara, lakini jamaa bado hajachukua uamuzi hadi sasa.Aidha jamaa pia huniomba kumbembelezea kwa mke wako mara wanapo tofautiana.Jamaa ni mlevi, lakini demu hanywi ,hivyo jambo hili limekuwa chanzo cha migogoro kila kukicha.
Kinachonishangaza siku za karibuni mke wa jamaa huyo amekuwa akinisimulia mapungufu mengi sana ya jamaa yangu ya kiwepo ya ndani mbaya zaidi, hata yale ya kitandani.Amefikia hatua anakuja kwangu kama kupiga story na wife lakini akitoka ananiandikia sms mimi kuwa aliniikumbuka hivyo alikuja kuniona,mara nyingine ananiita kwake kama vile anashida lakini nikifika anaanza kunieleza mambo yote wanayofanya usiku na jamaa; mfano kama jamaa amepiga game vizuri,au amepapsa tu ama hajapiga kabisa.Sasa kisa cha mwisho mke wangu alisafiri, shemeji yangu huyo( Hawala wa jamaa yangu) akaniita kwake nilipofika nilikuta anacheki BLUE VCD nilipongudua hilo nilikomea mlangoni nikajifanya ninaharaka,ghafla aliingia chumbani akatoka na kibaasha akanipa, nami nilitoka nacho mpaka home huku nikijua kuwa ndicho alicholuwa ameniitia.Nilipo fika nyumbani kwangu nilikifungua nikakuta kuna BLUE VCD, nikaingalia kidogo kisha nikamrudishia,akawa ananiulizia kama imenifurahisha au laa.Kusema ukweli tabia hizi sizipendi,hata hivyo naogopa kumwambia jamaa yangu waisije wakafarakana kwa ajili yangu hasa kwa vile anaonekana nampenda sana huyu demu.Je, mnanishauri nini wakubwa katika hili?