kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 988
- 762
MAWIGI AISEEEEEEE...SIYAPENDI KABISAMoja ya tabia za akina mama zinazoniudhi ni urembo bandia wa kucha, nywele, kope, nyusi, makalio, nyonyo na vitakataka vingine kama hivyo.
Utakuta mwanamke kaanika vipaja uchwara vyake nje akisuguliwa miguu na kubandikwa kucha bandia. Na haipiti hata wiki moja kucha zimebanduka anaenda kuweka zingine. Hivi hawa wanawake ni nani aliyewaroga?
Je, ni tabia gani ya kike inayokukera na kukufanya uwaone wanawake kama mazombie au misukule?