Tabia za kinamama zinazoniudhi

Moja ya tabia za akina mama zinazoniudhi ni urembo bandia wa kucha, nywele, kope, nyusi, makalio, nyonyo na vitakataka vingine kama hivyo.

Utakuta mwanamke kaanika vipaja uchwara vyake nje akisuguliwa miguu na kubandikwa kucha bandia. Na haipiti hata wiki moja kucha zimebanduka anaenda kuweka zingine. Hivi hawa wanawake ni nani aliyewaroga?

Je, ni tabia gani ya kike inayokukera na kukufanya uwaone wanawake kama mazombie au misukule?
MAWIGI AISEEEEEEE...SIYAPENDI KABISA
 
Je, ni tabia gani ya kike inayokukera na kukufanya uwaone wanawake kama mazombie au misukule?

Mama tpaul njoo huku JF umuone mwanao anakutusi
 
yananikera manamke mabonge af sio masafi... napia manamke haya ya insta yanayovaa nusu uchi then yanapiga picha nakujikuta ma supa staaa, yananikera zaid majimama ya uswahilini yanayojichubua, sura inakuwa km paka, inakela manamke yanayocheza ngoma...wanaita nn sijui..huwa had yanasasambua..mishanga kibao tena mbele ya watoto...laana iwe juu yenu! wanakela mademu waongo waongo..njaaa sana, vizinga ndo usiseme!!!!!! zaid zaid wanakera hawa wanawake wanaondekeza pombe na kula kula...had figa inapotea..demu mbongo anakuwa km jimama la kibagachori! ukiangalia faster faster huwezi jua mbele wpi...tumbo limejaa chips mayai na bia..Haraf unakuta linalalamika mume wake kapunguza speed kitandanj..nan anapenda kulala na litukunyema!!!!
Daaa jamani hii kali.
 
Moja ya tabia za akina mama zinazoniudhi ni urembo bandia wa kucha, nywele, kope, nyusi, makalio, nyonyo na vitakataka vingine kama hivyo.

Utakuta mwanamke kaanika vipaja uchwara vyake nje akisuguliwa miguu na kubandikwa kucha bandia. Na haipiti hata wiki moja kucha zimebanduka anaenda kuweka zingine. Hivi hawa wanawake ni nani aliyewaroga?

Je, ni tabia gani ya kike inayokukera na kukufanya uwaone wanawake kama mazombie au misukule?
Sijui wamekula maharage ya wapi hawa kinamama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom