HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Rafiki yako anakutumia meseji kukusallimu, halafu mwisho anamalizia na msalimie mkeo! anaweka na alama za kushangaa tatu (!!!), maana yake nini aiseee? Au nishaibiwa?
---- Message hii imetumwa na ndugu toka Singida, akiomba ushauri ; anahisi kaibiwa na rafiki yake -----
---- Message hii imetumwa na ndugu toka Singida, akiomba ushauri ; anahisi kaibiwa na rafiki yake -----