Taasisi ya "Usheikh'' na fani ya uigizaji Tanzania

mohamed said acha wivu wa kike,we kama hujipendekezi kwa wakuu wa nchi hii, kama kimya au endelea kucheza bao huko mtaa wa gerezani,mashehe wenzio yao yana enda.inaitwa "akili kumkichwa".chezeya njaa weyeee:lol::lol:

Kadoda,
Hapana kaka si "wivu wa kike," ni kuhangaisha bongo tu na kufikiri.
Huwezi amini lakini mimi sijui kucheza bao.

Nimejaribu "draft," nayo kila nikikaa nafungwa mie.
Nimeacha.

Hiyo njaa kaka mbona sote ni hivyo hivyo?
 
Wana syllabus kabisa ya sanaa za maonyesho na sanaa za siasa

Kibafute,
Anthony Quinn alikuwa muigizaji mkubwa katika waigizaji wakubwa wa
Hollywood.

Alicheza filamu moja inaitwa "Lawrence of Arabia."

Siku moja alikutana na Muarabu akamuuliza vipi ameweza kuigiza kama
"watu wake" yaani kama Muarabu kiasi yeye alipata tabu kuamini amuonaye
katika senema ni Mzungu na si Muarabu...


14198-10906.gif

Anthony Quinn
 
Hapa Ritz, The Big Show na FaizaFoxy hawatii mguu. Leo kwa mara ya kwanza watapingana na Mzee Mohamed Saidi hadharani kwani CCM wanaipenda na hawa masheikh ni mwiko kwao kuwasema au kuwaongelea vibaya.

Leo Mohamed Saidi kazi anayo.
Sisi ni Waislam tunaojitambua hujui msimamo wangu kuhusu masuala ya Uislam nini Ritz na Bakwata na Masheikh njaa wapi na wapi mimi watu wangu kina Sheikh Ponda najua lazima ushtuke ukisikia jina la Ponda.

Tupo pamoja na Sheikh Mohamed Said
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Muhamed, na sisi tujipange safari ya kwenda monduli kwani kipindi ya kuvuna ndiyo hichiii !! Tukutane barazani kupanga safari
 
Kwenye picha ya juu kabisa kuna mzee kashika chupa ya maji. Najiuliza kama naye kamchangia Lowasa pesa!
 
Njaa mbaya sana huondoa ufahamu,heshima,busara,utu na akili.Siamini kama hao masheikh wamesukumwa na dhamira zao.Aina fulani njaa na kujitoa ufahamu.Ila nawapongeza msimu wa mavuno huu hiyo ni fursa,baada ya msimu njaa itarudi mtindo mmoja.Na wengine waende zamu kwa zamu
 
Shida namba moja masheikh wa Tanzania ni .njaaa iliyopitiliza'

masheikh hawana security ya aina yoyote
mishahara hawana, health insurance hawana..
hata usafiri tu wa kutoka na kurudi nyumbani shida....

kukuta sheikh mwenye pikipiki tu ni tabu.....

sasa ukichanganya na ubabaishaji wa kutokuijua dini vizuri

masheikh wengi wa siku hizi wanaganga njaa tu.....dini yenyewe hawaijui vizuri...
 
Na njaa ndip iliyomponza zitto, du ali create shibe na njaa bc bwn ila kuna wasio shiba km akina zitto,ss umaarufu kwa heri mwalimu
 
Shida namba moja masheikh wa Tanzania ni .njaaa iliyopitiliza'

masheikh hawana security ya aina yoyote
mishahara hawana, health insurance hawana..
hata usafiri tu wa kutoka na kurudi nyumbani shida....

kukuta sheikh mwenye pikipiki tu ni tabu.....

sasa ukichanganya na ubabaishaji wa kutokuijua dini vizuri

masheikh wengi wa siku hizi wanaganga njaa tu.....dini yenyewe hawaijui vizuri...
Kwanini wamelengwa masheikh wa Bagamoyo? Wana njaa kuliko masheikh wa sehemu zingine? Lowasa mchokozi.
 
Mwaka wa maigizo.......El ametuma ujumbe kwa Jk kuwa ameombwa na wanyumbani kwake ........huu ujumbe sijui kama utapata majibu ,,,,
 
Mzee wetu Shaykh Mohamed Said barak Allaahu fiik,
Hao wanonasibishwa/kujinasibu ati na "U-Shaykh" kesha kufanza huo ubahau wao pasi haya, hofu,woga wala kificho kwa 'adala/uadilifu na ahkaam za kiislam nadhani wangia/wako katika hali moja kati ya hizi mbili;

1.Aidha ni majuha/wajinga wasojitambua na kuutambua uislamu wao sawasawa, hivyo basi kupelekea wao kushindwa kubaini ama kutambua mafundisho, sharia,taratibu na kanuni za kiislam kunako masuala kama hayo waloyangia paskna ujuzi tena chini ya mwamvuli wa "U-Shaykh". Kwa maana hiyo wanakuwa ma'dhuur(al 'udhru bil jahl) na hapana budi kufanziwa furqaan, kufahamishwa,kusahihishwa na kukanywa na wajuzi wa masuala ya dini kwa hikma na staha.Na mwishoe yawapasa wao wakiri, wajutie na watubie kosa hilo.

2-Kinyume na hilo basi watakuwa ni wajuzi, wasomi na wataalamu wazuri wa masuala ya dini, na hilo walolingia na kulifanza wako na ubainifu nalo,bali tu labda matamanio ya nafsi zao(mere whims and desires), dhiki na ukata wa maisha, udhaifu wa iiman zao, zawadi, takrima ama donge nono waloahidiwa na mengine kama hayo.

Katika hali hii pia hatupaswi kuwalaani, kuwatusi na kuwadhalilisha bali kuchukia kitendo chao hicho(kila muislam nafsinimwe) lakini kuwanasihi, kuwakosoa, kukemea, kuwaonya na ikibidi kuwa raddi kulingana na miizani ya kisharia itakavyopimwa na wajuzi wa dini na si kila mmoja tu kwa kuwa ati ni muislam.Pia kama watakiri kuwa wamekosea wapaswa wao pia kutanabaisha umma kuwa walifanza makosa kwa kitendo chao hicho, watake rdhi na watubie.

Binafsi yangu nawadhania wapo katika hali nambari moja hapo juu.

Wallaahu a'lam.
 
yule profesa anayemeng'enya vibinti vya watu naye yumo kwenye msafara. anatoka msikiti gani huko Bagamoyo? maana inaonekana kahama kutoka Tabora anakowakilisha jimbo kama mbunge, kafungua msikiti bagamoyo. vibinti vya kikwere vinaye, hadi kwenye msikitini atavilamba tu. chezea profesa weeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom