Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,193
- 95,282
Waislam huwa wana msimamo kwa mambo yao tu, lakini kwa mambo mengine wako laini sana, sasa hawa Mashekhe mpaka wamehongwa pesa kwenda Monduli, imekuwaje. Waislam acheni kuwa laini, mpaka sasa katiba pendekezwa imepatikana kihuni, viongozi wa Kikristo wametoa tamko kwamba ipigwe kura ya hapana, lakini Waislam wamekaa kimya tu.
Unajuwa utamu wa ubeche wewe?