mtendakazi
Member
- Mar 14, 2012
- 26
- 7
kutokana na mgomo wa ma daktari nchini na uhamuzi wa serikari kusitisha leseni za madaktari wapatao takribani 300 na baadhi yao wameanza kuondoka nchini ili kutafuta mahala wanakosamini taaruma hii mwenzeni naomba mtu atakayensaidia kupata fulsa hapa nchini katka kazi isiyo ya utabibu lakni taaruma yangu inaweza kufiti, plz wanajamvii nsaidieni coz naipenda nchi yangu japo viongozi wake ni vipofu