....kuendelea kuishabikia ccm mpaka saiz,ni lazima uwe na roho ngumu saaaana na kuja kukubali matokeo!Taarifa ya habari kuanzia channel ten, Tv1, ITV zimetaliwa na habari za wananchi mbalimbali toka CCM kwenda CHADEMA....
Wengi wao wamechishwa na tuhuma za rushwa zinazoendelea CCM....
ONYO::Mpaka october kitaeleweka tu.....Na OLE WENU MTUMIE GOLI LA MKONO.....Mtakiona cha moto....
cc LAKI si pesa Mzalendo FaizaFoxy
Tulitahadharisha tukaonekana wajinga, wacha waisome namba sasa, sisi tunakimbia na LOWASSA mpaka ikulu oktoba 25.
Huko ACt mbona hakuendeki!
Tulitahadharisha tukaonekana wajinga, wacha waisome namba sasa, sisi tunakimbia na LOWASSA mpaka ikulu oktoba 25.
...ccm wameshalegea hakika tutawakalisha octoba 25 asubuhi mapema. Hapo bado hata Lowassa hajanza kutambulishwa na hajaanza kampeni..huruma kwa magamba mwaka huu hayachomoki asilani...
Kaka yangu MUSSA ALLAN hongera kwa kujiunga na timu ya ushindi
Nimeona arusha (2), tanga na hata rufiji wakisema riz asiwachagulie mbunge. Mbaya zaidi, matukio haya yanatokea vijijini. Ccm watafakari sana. Wasipuuze kimbunga hiki.
Wananchi wa Tanga wamenipa raha sana.Sio kwa wingi ule na kuchana kadi vile!
CCM inazidi kupotea taratibu kama meli ya Mv. Spice!