SERIKALI HAINA SHAMBAMashirika mawili ya dini yanena na kutoa taarifa kuhusu njaa na hali ya ukame iliyoikumba taifa .
Yaitisha maombi maalumu ya kuombea taifa.
Hashtag Mwafaaaa
Nchi haina shamba
Nimewasilisha tu.
Za kuambiwa.........sasa hawa wamejuaje?.....mkulu si kashasema yeye tu ndiye anayejua!!!
changanya na za kwakoZa kuambiwa.........
Siku ya kusubiri kuambiwa kuna njaa basi hali ishakua mbayachanganya na za kwako
Ambaye hajui kupokea maonyo"Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu ..."
MHUBIRI 4:13
Mwenye nchi ni watanzania woteMwenye nchi kasha sema hakuna njaa