mbezibeach 2
Senior Member
- Jun 28, 2011
- 166
- 50
haya mambo ya kufanya kazi na vyombo vya habari...................... sasa mwakyembe hapa anatafuta nini?................... huruma ya umma?.................... atulie tu aendelee na matibabu yake, ..................Mungu akipenda atamnusuru...............
Mwakyembe alishafanya Kosa kubwa sana kuficha ukweli kuhusu Richmond na Kukaa kimya muda wote wa Tetesi za yeye kunyweshwa sumu mpaka wenzake wame-mtaimu...Na ajue maadui zake wameenda mbali zaidi hata kuchakachua taarifa ya ugonjwa wake kutoka Apollo.