Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
pole kamanda , ulikuwa unaenda wapi na mtumbwi?
Yuko visiwani Bumbire, Goziba na Maisome katika wilaya ya Muleba. Ameenda huko kuimarisha M4C Kanda ya Ziwa. Mie nilikutana naye pale Izigo siku ya Jumapili akichukua masurufu kwa ajili ya safari kwa Kamanda Bayona.
Mungu atamsaidia.