Taarifa nyeti: Mbinu za wizi wa kura hizi hapa - PART 2

Kuna watu sijui wanawaza kwa kufikiri viungo gani vya mwili. Daftari lipo wazi na kila chama cha siasa kina haki ya kulipata. Sasa eti waache mikutano ya kampeni kuhangaikia daftari huu si ufedhuli kabisa?

Vituo hewa vya kupigia kura mwaka huu vitadoda! Kama daftari lipo safi mbona tume hadi leo hailitoi? Uchaguzi unatakiwa uwe huru na wa haki ili atakayeshinda afurahi na ajue kwamba kweli anapendwa na aliyeshindwa akubali bila kinyongo na ampongeze mshindi.Hayo mabao ya mkono mnayoyaandaa nakuthibitishia mwaka huu mtatafuta pa kuyafungia.
 
unavyoropoka sasa, utafkiri umetupia kitu cha jogoo

Vichaa ni mpo wengi sikushangai endelea na mzingaombwe yako piga deki barabara zote mpaka na mawingu na wiki ya mwisho ya uchaguzi mtaambiwa mvue nguo ili ushindi upatikane lakini ikulu hamuioni ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Vichaa ni mpo wengi sikushangai endelea na mzingaombwe yako piga deki barabara zote mpaka na mawingu na wiki ya mwisho ya uchaguzi mtaambiwa mvue nguo ili ushindi upatikane lakini ikulu hamuioni ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooooo

basi poa fisi lao. uyo wa kwenu atafurama,abinue na mat*ko hatimaye atatinga na sidiria juu, mwisho wa siku atavaa hadi chupi kichwani lakini ikulu ataionea kwenye bomba, labda abaki kuwa rais wa ccm, sio wa jmt.tukutane tar 25. na tar 26 urudi hapa kutoa matokeo. na usije ukakimbia jf. Na mkome kulazimisha wafanyakazi kwenda kwenye fiesta zenu. alafu mbona nyinyi huwa mna hasira hivyo? twende mdogo mdogo, bado siku 10 tu. punguzeni jazba.

Katuni.jpg 12074606_630842277057267_3790933909373342388_n.jpg 12079600_552690218212975_6127294806323856043_n.jpg 12119902_944346732270683_132471585260448882_o.jpg 12074830_139542033065154_4530285411375001539_n.jpg kula copy.jpg IMG_20150513_192204 copy.jpg
 
Back
Top Bottom