Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Jamani pole na majukumu.
Leo nawaletea taarifa ya pili ya namna ya kuzuia wizi na mparaganyiko wa uchaguzi wetu.Sisi watu wa mungu tunapenda atakayeshindwa awe ameshindwa haswa bila kuwepo nguvu ya ziada kutoka katika mfumo usio rasmi.
Fuatana nami.
1:UPINZANI KOMARIA ORODHA YA WALIOMO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU
Katika suala hili wapinzani chonde chonde kama inawezekana achaneni na mikutano ya kampeini kabisa ili mshugulikie suala la daftari la kudumu-uhai wa ushindi kwa chama husika umebaki hapa tu. achaneni na hoja za mnyika za kutisha press conference eti kudai daftari,tumia njia zilizowekwa na tume.andika barua rasmi kwa tume iwe na kumb no,ipeleke kwa disparch NEC.
Au tuma mtu anayeheshimika kama mbowe,mbatia,lowassa,juma duni au mwanasheria wwenu afike NEC aombe daftari kwa njia iliyo wazi,bila kumungunya maneneo au kugombana na mtu pale lazima mpate majibu au mnapewa au hampewi na kwa nini? from there mnaweza anzisha ya kuitisha press conference kueleza kunyimwa daftari au kupata.
Mkipata daftari husika toa copy sambaza kwa mawakala wenu,lakini nawahakikishi itakuwa ngumu kidogo kupewa hilo daftari.
Kesho 12/10/2015 NEC imeandaa mkutano baina yo na vyama vya siasa kikubwa katika mkutano huo agenda kubwa iwe ni kupewa dafatari la kudumu.
Kumbuka NEC imesema wapiga kura ni milion 23+ lakini taarifa rasmi iliyoko NBS wapiga kura ni milioni 24+ bonyeza hapa http://www.nbs.go.tz/ msicheze na TAKWIMU.
2:UKAWA OMBA KUJUA ALIPO MKUU WETU WA MAJESHI
Kama kuna ambaye hawezi kuhusisha suala hili na uchaguzi huu arudi shule.(sitajadili sana kulinaga na sheria ya mitandao)
Kumbuka hivi karibuni kijana mmoja 'anadaiwa' kumzushia Mwamunyage kuwa kalishwa sumu na jeshi lilitoa taarifa ilifuatyo
"Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Luteni Kanali Juma Sipe, imeweka wazi kuwa Jeshi na Wizara kwa kushirikiana na mamlaka husika, wanachunguza watu hao na kuwataka waombe radhi mapema kabla ya hatua hizo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Jenerali Mwamunyange ni mzima wa afya na aliondoka nchini Jumanne iliyopita Septemba 22, 2015, saa 10.45 jioni kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates kwenda Rome, Italia kwa ziara ya kikazi ya siku TISA (9) kwa mwaliko wa Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo, Jenerali Claudio Graziano." Soma hapa
chini ‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’
Sasa kuanzia septemba 22,2015 hadi leo october 11,2015 ni siku 20.Je alimaliza ziara yake? amerejea? yuko wapi?.ukawa pata majibu ya alipo huyu kiongozi wetu kwa mfumo ulio mzuri kabisa,amabo hauingilii mamlaka ya jeshi letu.
Maswali haya wala hayavunji sheria yoyote bali kutka kujua alipo.Suala hili lina impact sana katika huu uchaguzi.
Mungu awabariki .
Nitarejea tena
Leo nawaletea taarifa ya pili ya namna ya kuzuia wizi na mparaganyiko wa uchaguzi wetu.Sisi watu wa mungu tunapenda atakayeshindwa awe ameshindwa haswa bila kuwepo nguvu ya ziada kutoka katika mfumo usio rasmi.
Fuatana nami.
1:UPINZANI KOMARIA ORODHA YA WALIOMO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU
Katika suala hili wapinzani chonde chonde kama inawezekana achaneni na mikutano ya kampeini kabisa ili mshugulikie suala la daftari la kudumu-uhai wa ushindi kwa chama husika umebaki hapa tu. achaneni na hoja za mnyika za kutisha press conference eti kudai daftari,tumia njia zilizowekwa na tume.andika barua rasmi kwa tume iwe na kumb no,ipeleke kwa disparch NEC.
Au tuma mtu anayeheshimika kama mbowe,mbatia,lowassa,juma duni au mwanasheria wwenu afike NEC aombe daftari kwa njia iliyo wazi,bila kumungunya maneneo au kugombana na mtu pale lazima mpate majibu au mnapewa au hampewi na kwa nini? from there mnaweza anzisha ya kuitisha press conference kueleza kunyimwa daftari au kupata.
Mkipata daftari husika toa copy sambaza kwa mawakala wenu,lakini nawahakikishi itakuwa ngumu kidogo kupewa hilo daftari.
Kesho 12/10/2015 NEC imeandaa mkutano baina yo na vyama vya siasa kikubwa katika mkutano huo agenda kubwa iwe ni kupewa dafatari la kudumu.
Kumbuka NEC imesema wapiga kura ni milion 23+ lakini taarifa rasmi iliyoko NBS wapiga kura ni milioni 24+ bonyeza hapa http://www.nbs.go.tz/ msicheze na TAKWIMU.
2:UKAWA OMBA KUJUA ALIPO MKUU WETU WA MAJESHI
Kama kuna ambaye hawezi kuhusisha suala hili na uchaguzi huu arudi shule.(sitajadili sana kulinaga na sheria ya mitandao)
Kumbuka hivi karibuni kijana mmoja 'anadaiwa' kumzushia Mwamunyage kuwa kalishwa sumu na jeshi lilitoa taarifa ilifuatyo
"Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Luteni Kanali Juma Sipe, imeweka wazi kuwa Jeshi na Wizara kwa kushirikiana na mamlaka husika, wanachunguza watu hao na kuwataka waombe radhi mapema kabla ya hatua hizo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Jenerali Mwamunyange ni mzima wa afya na aliondoka nchini Jumanne iliyopita Septemba 22, 2015, saa 10.45 jioni kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates kwenda Rome, Italia kwa ziara ya kikazi ya siku TISA (9) kwa mwaliko wa Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo, Jenerali Claudio Graziano." Soma hapa
chini ‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’
Sasa kuanzia septemba 22,2015 hadi leo october 11,2015 ni siku 20.Je alimaliza ziara yake? amerejea? yuko wapi?.ukawa pata majibu ya alipo huyu kiongozi wetu kwa mfumo ulio mzuri kabisa,amabo hauingilii mamlaka ya jeshi letu.
Maswali haya wala hayavunji sheria yoyote bali kutka kujua alipo.Suala hili lina impact sana katika huu uchaguzi.
Mungu awabariki .
Nitarejea tena