TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

Si shangai. Kama hospital za kidini zinaua watu kwa manufaa ya kisiasa. Lkn hata rwanda yalitokea mauji kama haya

Endelea kufanya ushabiki lakini inasikitisha kuona kwamba uwezo wenu wa kufikiri umefikia ukomo,na kwa taarifa yenu ushabili wenu huu msipotafakari vizuri na mkayasikiliza matakwa ya Madaktari basi mjue ndio mwisho wa ukolonimamboleo hapa TZ,hii inaweza ikawa ndio safari ya mwisho kuelekea kuzimu,nyie chezeni tu,na hata huyu Makinda leo alivyokataa kujadili hali ya mgomo nadhani ni kwa mashabiki wasio fikiria vizuri kama wewe sisi kwa sisi.
Ongezeni bidii na utani kwenye jambo hili lakini mtalia na kusaga meno,muda unaelekea kuwadia.
 
watu wanateketea, serikali inakata viuno, leaders wanacheka-cheka na kulialia na kushangaa-shangaa, na kudanganya-danganya
 
Na hospitali ya Jeshi Lugalo mgomo unanukia....
sababu- zaidi ya nusu ya madokta wao (15) wamepelekwa Muhimbili wanalipwa laki 100,000/= kwa siku hali wao hawapumui na kazi zilizo walemea.

Duh! Hayo malipo
 
Na hospitali ya Jeshi Lugalo mgomo unanukia....
sababu- zaidi ya nusu ya madokta wao (15) wamepelekwa Muhimbili wanalipwa laki 100,000/= kwa siku hali wao hawapumui na kazi zilizo walemea.
Duh! Hayo malipo ya 100,000/= kwa siku ni extra durty allowance au? Mbona madaktari wakidai angalau nusu per diem
 
Ni hospitali zote za kanisa ziko kwenye mpango wa MOU au za rufaa tu kama Bugando, KCMC, Bombo na Peramiho. kuelewa mambo kunaepusha shari nataka kufahamu kwa faida ya kuepuka kudanganywa.

PIPIJOJO hoja yako haina mashiko,haina kabisa nafasi kwa sasa,tatizo tulilonalo mezani kwa sasa ni Madaktari wa Bugando nao tool down,je tufanyaje?serikali ndio hivyo tena tayari jambo limewashinda kwa sababu wanaliendesha kisiasa za uongo na ubabaishaji,kuondoka kwa hiari hawataki,je nasisi tunaohitaji huduma za tiba kutoka kwa madaktari wenu na hospitali zenu tufanyaje?
Huenda likawa jambo la busara kama tukiidai Serikali huduma ambazo tunazilipia kwa njia ya kodi,watuambie ni kwanini hatupati huduma ya tiba,ni kwa njia ya nguvu ya umma tu ndio inayoweza kuturejeshea huduma za tiba sisi wananchi,hasa tusio nauwezo wa kutibiwa Agakhan,Regency,TMJ na kwingineko.
 
Na hospitali ya Jeshi Lugalo mgomo unanukia....
sababu- zaidi ya nusu ya madokta wao (15) wamepelekwa Muhimbili wanalipwa laki 100,000/= kwa siku hali wao hawapumui na kazi zilizo walemea.

Ohhh kumbe hela wanayo
 
ndugu yangu. Hii ni ajenda ya kanisa tu, hukumbuki mzee mwinyi? Mkapa si unaona tanzania ilikuwa mlo mara 1000 hapa. Maisha mazuri tu. Akija muislam si mnajuwa?

Inawezekana ikawa hvo lakini kinachinitia mashaka na kunifanya nisiamini kama wewe ni hiki, kama keli ni ajenda ya kanisa Baraza la maaskofu wasinge mtuma mwakilishi wao kuja kujaribu kuzima mgomo mara kadhaa jambo ambalo hajawahi kufanikiwa.
 
Haya ni maajabu ya dunia,yaani mpaka leo serikali ya CCM bado iko madarakani,kweli aliyewaroga wabongo hayupo kwenye sayari hii.
 
Kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa kikao cha Madaktari wakazi (Resident) na Interns ambao bado walikuwa wanaona wagonjwa wa dharura sasa wameamua kuacha kila kitu na kuamua kutoa mtangazo.

Kkatika mbao za matangazo kuwa leo hakuna kazi huku kukiwapo na taarifa Madaktari bingwa wa hospitali hii wamekuwa wakionekana katika makorido ya hospitali hiyo wakijadili mgomo na kuwepo kwa tetesi kuwa walikuwa na mpango wa kukaa kikao cha kujadili mgomo na kuweka tool down..


NAOMBA KUWASILISHA
Mh. alikuwa kwenye sherehe za chama huko na alipata muda wa kukutana na wawakilishi wa wamachinga na kuwapiga jeki ya 10Mil. naona hilo halikukaa vizuri sana kwa madakitari ....
 
mMwaka 2015.... ccm.jpg
 
Nafikiria serekali iakte mirija yote inayoelekea makanisani. Kwani isipofanya hivyo taifa litaangamia. Kama bugando hopsital ya kanisa inagoma kwa kuwa rais aliepo madarakani ni muislam. Nchi imeisha
"chokochoko kamchokoe pweza" babuuu . Kama huyawezi yaaache yaelee kwani yameumbwa. Tena ukome kuwa mchochezi wa kidini kwani Watanzania hatuko hivyo.
 
Kuna ndugu yangu amefia Mama Ngoma hospital leo. Ilibidi tumwamishie huko kufuatia mgomo wa Madaktari. Sitokaa niwasamehe Magamba!
 
Bugando sio ya Kanisa tu....unapaswa kutambua kuna kitu kinaitwa ''PUBLIC PRIVATE PARTNERSHIP'' hapa serikali hufanya kazi kwa kushirikiana na taasisi binafsi km bugando ampapo serikal huwapatia huduma maalum km hao wataalam ambao leo wamegoma na kuweka vitendea kazi chini au mezani au kwenye kabati,,mie siuji wamtunza wapi..but huo ndo muundo wa serikali na taasisi km hizo hapo wanavyoshirikiana au wanavyokutana
 
Back
Top Bottom