Tetesi: Taarifa kuhusu kutaka kutoroshwa kwa Gekul

Itscharlie

JF-Expert Member
Apr 15, 2022
3,795
15,776
TAARIFA

Tumepokea taarifa za Kutaka Kumtorosha Pauline Gekul kwenda Nairobi,nchini Kenya kupitia mpaka wa NAMANGA kwa kutumia Landcruiser Hardtop nyeupe yanye namba za DFP 76551 na Vioo vyeusi (Tinted).

Gari hiyo imefika nyumbani kwa Pauline Gekul (Babati) tangu alfajiri ya leo Jumapili nakuanza Kupakia mizigo,ikiwa imesindikizwa na polisi mmoja aliyevalia kiraia mwenye silaha nzito.

Rai wema na Wananchi wenye hasira kali wamezingira nyumba ya Pauline Gekul kufanya doria na wengine wamehamasishana kutangulia NAMANGA getini pale mpakani,kuzuia gari ya aina yoyote itakayo kuwa imembeba Pauline Gekul isipite na mualifu huyo na mfungwa mtarajiwa.

Ambaye baadhi ya vyombo vya dola Babati vinamsaidia kumtosorosha ili kukwepa mkono wa sheria

kutaka aondoke wakati huu wa moto na arudi mambo yatakapokuwa yamepoa siku za baadae.

Msithubutu huo mchezo,MTAJUTA

C.C
IGP Wambura
DCI Kingai
RPC Boaz,Manyara
RSO-Manyara
OC-CID BABATI
DSO-BABATI


Boniface jacoc/twitter x
 
TAARIFA

Tumepokea taarifa za Kutaka Kumtorosha Pauline Gekul kwenda Nairobi,nchini Kenya kupitia mpaka wa NAMANGA kwa kutumia Landcruiser Hardtop nyeupe yanye namba za DFP 76551 na Vioo vyeusi (Tinted).

Gari hiyo imefika nyumbani kwa Pauline Gekul (Babati) tangu alfajiri ya leo Jumapili nakuanza Kupakia mizigo,ikiwa imesindikizwa na polisi mmoja aliyevalia kiraia mwenye silaha nzito.

Rai wema na Wananchi wenye hasira kali wamezingira nyumba ya Pauline Gekul kufanya doria na wengine wamehamasishana kutangulia NAMANGA getini pale mpakani,kuzuia gari ya aina yoyote itakayo kuwa imembeba Pauline Gekul isipite na mualifu huyo na mfungwa mtarajiwa.

Ambaye baadhi ya vyombo vya dola Babati vinamsaidia kumtosorosha ili kukwepa mkono wa sheria

kutaka aondoke wakati huu wa moto na arudi mambo yatakapokuwa yamepoa siku za baadae.

Msithubutu huo mchezo,MTAJUTA

C.C
IGP Wambura
DCI Kingai
RPC Boaz,Manyara
RSO-Manyara
OC-CID BABATI
DSO-BABATI


Boniface jacoc/twitter x
As long as there is no any arrest warrant issued, Mhe. Gekul yuko free kwenda popote na hamna mtu wa kumzuia!.

Tayari kuna taarifa hii Tetesi: - Mbunge Pauline Gekul Akamatwa na Jeshi la Polisi Akijaribu Kutoroka Nchini Kuelekea nchini Kenya
P
 
TAARIFA

Tumepokea taarifa za Kutaka Kumtorosha Pauline Gekul kwenda Nairobi,nchini Kenya kupitia mpaka wa NAMANGA kwa kutumia Landcruiser Hardtop nyeupe yanye namba za DFP 76551 na Vioo vyeusi (Tinted).

Gari hiyo imefika nyumbani kwa Pauline Gekul (Babati) tangu alfajiri ya leo Jumapili nakuanza Kupakia mizigo,ikiwa imesindikizwa na polisi mmoja aliyevalia kiraia mwenye silaha nzito.

Rai wema na Wananchi wenye hasira kali wamezingira nyumba ya Pauline Gekul kufanya doria na wengine wamehamasishana kutangulia NAMANGA getini pale mpakani,kuzuia gari ya aina yoyote itakayo kuwa imembeba Pauline Gekul isipite na mualifu huyo na mfungwa mtarajiwa.

Ambaye baadhi ya vyombo vya dola Babati vinamsaidia kumtosorosha ili kukwepa mkono wa sheria

kutaka aondoke wakati huu wa moto na arudi mambo yatakapokuwa yamepoa siku za baadae.

Msithubutu huo mchezo,MTAJUTA

C.C
IGP Wambura
DCI Kingai
RPC Boaz,Manyara
RSO-Manyara
OC-CID BABATI
DSO-BABATI


Boniface jacoc/twitter x
Toa taarifa yako sio ya kigogo kigogo copy and paste!
 
Back
Top Bottom