Wakuu.. Week iliyopita niliibiwa taa za mbele za gari aina ya Toyota Spacio.
Fundi wangu anashauri tununue/tuweke Taa USED kwa sababu huwa hazipauki,na anasema taa mpya za dukani zinachuja rangi na kufubaa mapema.
Any ideas wakuu.... Kuna ukweli katika hilo ?
Fundi wangu anashauri tununue/tuweke Taa USED kwa sababu huwa hazipauki,na anasema taa mpya za dukani zinachuja rangi na kufubaa mapema.
Any ideas wakuu.... Kuna ukweli katika hilo ?