Synovate Wachakachua Kura za maoni za Juzi

Mzalendo80

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
2,508
1,338
Inasemekana kuwa Synovate Wamechakachua Kura za maoni walizotoa Juzi kuwa Dr.Slaa anaongoza, Source ya Mtu anayefanyakazi katika Shirika hilo alisema kuwa Kikwete pia alishindanishwa katika maoni hao lakini aliachwa Mbali na Dr.Slaa kwa 26%. Synovate waliogopa kutoa maoni ya ukweli wakijua wanawezakufukuzwa au kulitewa zengwe na serikali ya Kikwete kwa kutoa maoni hayo. Na pia inasemekana umaarufu wa Kikwete unashuka kwa kasi siku hadi siku na Synovate wanaogopa kuzitoa kwa sababu ya kuogopa serikali inawezakuwatimua.

My take: huku tunakokwenda na nchi yetu siko kuficha ukweli na kutoa uongo na kuugeuza ndio ukweli utagharimu serikali ya Magamba
 
Ndiyo sababu ya kumweka Jk kando

hata hivo tushajua janja yao,always wanatoa taarifa zao kulenga au kuficha mambo fulani ya serikali
 
Hiyo inafahamika kama Synovate kwanza ni ya kikenya, Pili wanajipendekeza kwa serikali, wanabagua wafanyakazi wenye asili ya Tanzania. Hizi NGO uchwara auncle Bob wa Zim alizitimua zote na sisi tunahitaji kujua hizi Ngo zisizo na ethics kuzitimua nchini.
 
Sasa kama serikali ya Kikwete ni ya VISASI kiasi hicho kiasi cha hata taasisi kiweledi kama Synoveta inafika mahala inaogopa kuipa ukweli wa mambo juu ya uhalisia wa maoni ya wananchi juu yao sasa NI VIPI WATAKAVYOWEZA kupata taarifa sahihi yenye kuwasaidia hata wao tu kujirekebisha?

Inasemekana kuwa Synovate Wamechakachua Kura za maoni walizotoa Juzi kuwa Dr.Slaa anaongoza, Source ya Mtu anayefanyakazi katika Shirika hilo alisema kuwa Kikwete pia alishindanishwa katika maoni hao lakini aliachwa Mbali na Dr.Slaa kwa 26%. Synovate waliogopa kutoa maoni ya ukweli wakijua wanawezakufukuzwa au kulitewa zengwe na serikali ya Kikwete kwa kutoa maoni hayo. Na pia inasemekana umaarufu wa Kikwete unashuka kwa kasi siku hadi siku na Synovate wanaogopa kuzitoa kwa sababu ya kuogopa serikali inawezakuwatimua.

My take: huku tunakokwenda na nchi yetu siko kuficha ukweli na kutoa uongo na kuugeuza ndio ukweli utagharimu serikali ya Magamba
 
<font color="#006400"><font size="4"><span style="font-family: fixedsys">Sasa kama serikali ya Kikwete ni ya VISASI kiasi hicho kiasi cha hata taasisi kiweledi kama Synoveta inafika mahala inaogopa kuipa ukweli wa mambo juu ya uhalisia wa maoni ya wananchi juu yao sasa NI VIPI WATAKAVYOWEZA kupata taarifa sahihi yenye kuwasaidia hata wao tu kujirekebisha????</span></font></font>

Mkuu, hao hawahitaji kupata taarifa sahihi wala kijirekebisha. Mwongo siku zote huchezea kwenye eneo hilo hilo la uongo, maana uongo kwake ndo ukweli.
 
Nilishangaa kuona eti Kikwete hakuwemo katika walioshindanishwa. Lakini kwa kiongozi mwenye visasi kama Kikwete sidhani kama kuna yeyote anayeweza kusimama na kumsema hadharani halafu akaachwa hivhivi. Kwa jinsi Kikwete alivyo, hataona shida kukunyonga tu.

Kama aliweza kuwatosa vibaya kabisa akina Mangula despite ufanyaji kazi wao bora, basi hataona taabu kummaliza mtu mwingine yeyote. Hata kama mimi ningekuwa ndo mkurugenzi wa synovate katu nisingekubali kupoteza kibaru au maisha yangu kwa sababu tu ya kusema ukweli. Aina ya uongo wa Synovate unaitwa ni uongo mtakatifu. Unasema uongo kwa ajili ya kuokoa maisha au kulinda maslahi ya wengi.
 
Sasa kama serikali ya Kikwete ni ya VISASI kiasi hicho kiasi cha hata taasisi kiweledi kama Synoveta inafika mahala inaogopa kuipa ukweli wa mambo juu ya uhalisia wa maoni ya wananchi juu yao sasa NI VIPI WATAKAVYOWEZA kupata taarifa sahihi yenye kuwasaidia hata wao tu kujirekebisha????
Kabla ya matokeo kutangazwa tayari taarifa sahihi wanazo ndio maana wanachakachua hata hivyo serikali yetu huwa haitegemei tafiti za kitaalam ili ifanye kazi inategemea mkulu anataka nini ili afurahi.
 
Inasemekana kuwa Synovate Wamechakachua Kura za maoni walizotoa Juzi kuwa Dr.Slaa anaongoza, Source ya Mtu anayefanyakazi katika Shirika hilo alisema kuwa Kikwete pia alishindanishwa katika maoni hao lakini aliachwa Mbali na Dr.Slaa kwa 26%. Synovate waliogopa kutoa maoni ya ukweli wakijua wanawezakufukuzwa au kulitewa zengwe na serikali ya Kikwete kwa kutoa maoni hayo. Na pia inasemekana umaarufu wa Kikwete unashuka kwa kasi siku hadi siku na Synovate wanaogopa kuzitoa kwa sababu ya kuogopa serikali inawezakuwatimua.

My take: huku tunakokwenda na nchi yetu siko kuficha ukweli na kutoa uongo na kuugeuza ndio ukweli utagharimu serikali ya Magamba

Ninapoisoma habari hii between the lines; napata picha moja! Ni ama Synovate hawajui wananachotakiwa kukifanya au habari yako ni ya uzushi! Hata hivyo, endapo nitaambiwa nichague moja katika hayo; basi nitalipigia upatu suala la uzushi wa habari! KWANINI?! Sioni sababu ni kwanini Synovate wamuhusishe na JK kwenye kura za maoni wakati wanajua kisheria hawezi tena kusimama na kugombea urais!

Kura za maoni zinapoitishwa ni kwa ajili ya wale wanaoonekana wanaweza kusimama kwenye kiti cha urais!!! Kwa kuangalia ukweli huo; nina mashaka kwamba ama umedanganywa na wewe uka-swallow kila kitu bila kutafakari au ni wewe umeamua kudanganya na bila shaka wapo watakao-swallow uongo huu kama ulivyo!
 
Ninapoisoma habari hii between the lines; napata picha moja! Ni ama Synovate hawajui wananachotakiwa kukifanya au habari yako ni ya uzushi! Hata hivyo, endapo nitaambiwa nichague moja katika hayo; basi nitalipigia upatu suala la uzushi wa habari! KWANINI?! Sioni sababu ni kwanini Synovate wamuhusishe na JK kwenye kura za maoni wakati wanajua kisheria hawezi tena kusimama na kugombea urais!!!! Kura za maoni zinapoitishwa ni kwa ajili ya wale wanaoonekana wanaweza kusimama kwenye kiti cha urais!!! Kwa kuangalia ukweli huo; nina mashaka kwamba ama umedanganywa na wewe uka-swallow kila kitu bila kutafakari au ni wewe umeamua kudanganya na bila shaka wapo watakao-swallow uongo huu kama ulivyo!



U have a good point
 
Ninapoisoma habari hii between the lines; napata picha moja! Ni ama Synovate hawajui wananachotakiwa kukifanya au habari yako ni ya uzushi! Hata hivyo, endapo nitaambiwa nichague moja katika hayo; basi nitalipigia upatu suala la uzushi wa habari! KWANINI?! Sioni sababu ni kwanini Synovate wamuhusishe na JK kwenye kura za maoni wakati wanajua kisheria hawezi tena kusimama na kugombea urais!!!! Kura za maoni zinapoitishwa ni kwa ajili ya wale wanaoonekana wanaweza kusimama kwenye kiti cha urais!!! Kwa kuangalia ukweli huo; nina mashaka kwamba ama umedanganywa na wewe uka-swallow kila kitu bila kutafakari au ni wewe umeamua kudanganya na bila shaka wapo watakao-swallow uongo huu kama ulivyo!
<br />
<br />
wanajanvi awali ya yote naomba kuwasalimu kwa kubisha hodi janvini.

Ila ndugu yangu NasDaz umetoa mawazo ambayo si mapana.
Utafiti unaweza kuhoji imani ya wananchi kwa kiongozi aliyepo na kama wananchi wanamuhitaji zaidi.
Ni dhahiri kwa majority ya watanzania, jk ameporomoka umaarufu wa kisiasa kwa kiasi cha kutisha na hata hiyo asilimia 26 nyuma ya Slaa ni chache.

Hakika kama alivyoahidi kuwa anataka watz tumkumbuke baada ya utawala wake, kweli tutamkumbuka kwa kuwa ni rais rahisi aliyepata kutokea. Aliupata urais kirahisi na amechokwa kirahisi vilevile. Kweli kinachokuja kirahis hupotea kirahisi vivyo hivyo.
 
Ninapoisoma habari hii between the lines; napata picha moja! Ni ama Synovate hawajui wananachotakiwa kukifanya au habari yako ni ya uzushi! Hata hivyo, endapo nitaambiwa nichague moja katika hayo; basi nitalipigia upatu suala la uzushi wa habari! KWANINI?! Sioni sababu ni kwanini Synovate wamuhusishe na JK kwenye kura za maoni wakati wanajua kisheria hawezi tena kusimama na kugombea urais!!!! Kura za maoni zinapoitishwa ni kwa ajili ya wale wanaoonekana wanaweza kusimama kwenye kiti cha urais!!! Kwa kuangalia ukweli huo; nina mashaka kwamba ama umedanganywa na wewe uka-swallow kila kitu bila kutafakari au ni wewe umeamua kudanganya na bila shaka wapo watakao-swallow uongo huu kama ulivyo!

Tafakari kabla.
Kikwete anaweza kuhusishwa kwa kipindi ikizingatiwa kuwa kunaweza kufanyika Uchaguzi mkuu iwapo miswada iliyopitishwa bungeni, rais amekataa kuisaini.

Pia kumbuka kampuni hii wakati mkapa anatoka ilifanya utafiti uliomhusisha yeye na wengine waliotaka kugombea na kuonesha kuwa yupo nyuma ya JK.
 
Ninapoisoma habari hii between the lines; napata picha moja! Ni ama Synovate hawajui wananachotakiwa kukifanya au habari yako ni ya uzushi! Hata hivyo, endapo nitaambiwa nichague moja katika hayo; basi nitalipigia upatu suala la uzushi wa habari! KWANINI?! Sioni sababu ni kwanini Synovate wamuhusishe na JK kwenye kura za maoni wakati wanajua kisheria hawezi tena kusimama na kugombea urais!!!! Kura za maoni zinapoitishwa ni kwa ajili ya wale wanaoonekana wanaweza kusimama kwenye kiti cha urais!!! Kwa kuangalia ukweli huo; nina mashaka kwamba ama umedanganywa na wewe uka-swallow kila kitu bila kutafakari au ni wewe umeamua kudanganya na bila shaka wapo watakao-swallow uongo huu kama ulivyo!

If I remember correctly ( and I do) mara baada ya Synovate kutoa matokeo ya utafiti wao wakati wa uchaguzi 2010, walisema wangefanya mwingine mara tu baada ya uchaguzi. Ninachohisi hapa ni kwamba wanaweza wakawa wameuliza 'kukubalika' kati Rais Kikwete na Dr Slaa. Hii ni mbali na swali la nani utamchagua kwa kiti cha urais 2015. Wakati mwingine kwenye research unaweza ukawa na swali/maswali ambayo si ya msingi sana lakini unayoweka ili kumuweka mtu kwenye mazingira mazuri (kimawazo) kukupa majibu ya uwazi zaidi kwa yale uliyokusudia kuyatafiti.

Hata hivyo, Wakubwa wa Synovate wanatakiwa waangalie upya utendaji wao hapa Tanzania maana kwa tafiti hizi mbili zinazogusa siasa (2010 na hii ya 2011) wanaoneka kujipa reputation mbaya sana - kutokuaminika. Watu wanaaza kuuliza uwezo wao kama watafiti, objectivity na hata experience. Hii si hali nzuri kwa organisation yeyote let alone a 'for profit' organisation. Kila kona ya Tanzania watu wanaijuwa Synovate - for the wrong reasons!
 
<br />
<br />
wanajanvi awali ya yote naomba kuwasalimu kwa kubisha hodi janvini.

Ila ndugu yangu NasDaz umetoa mawazo ambayo si mapana.
Utafiti unaweza kuhoji imani ya wananchi kwa kiongozi aliyepo na kama wananchi wanamuhitaji zaidi.
Ni dhahiri kwa majority ya watanzania, jk ameporomoka umaarufu wa kisiasa kwa kiasi cha kutisha na hata hiyo asilimia 26 nyuma ya Slaa ni chache.
Hakika kama alivyoahidi kuwa anataka watz tumkumbuke baada ya utawala wake, kweli tutamkumbuka kwa kuwa ni rais rahisi aliyepata kutokea.
Aliupata urais kirahisi na amechokwa kirahisi vilevile. Kweli kinachokuja kirahis hupotea kirahisi vivyo hivyo.

Mkuu, sina tatizo lolote la kukubalika au kutokukubalika kwa Slaa kwa hivi sasa ukilinganisha na JK! Wala sitashangaa maoni yakisema kwamba endapo uchaguzi ukiitishwa leo, basi Dr. Slaa atamshinda JK! Ninachobisha mimi ni kwamba, haiwezekani kwa sasa Synovate imuweke JK kwenye kura za maoni wakati yeye (JK) hawezi kusimama tena kugombea urais.

Na wakifanya hivyo, itakuwa ni poll isiyo na mantiki ! Ninavyokumbuka mimi ni kwamba, kura za maoni zilizokuwa zimepigwa hazikuwa za kuonesha imanbi ya wananchi kwa viongozi, bali ni nani angeweza kushinda endapo uchaguzi ungefanyika wakati wa maoni hayo!
 
huwa inafanywa sana ila sema hujui tu kwa sababu moja au nyingine. Kwa Tanzania unaweza kuona ni kitu kipya ila ungelikuwa unajihusisha na siasa za Kimataifa kwa siku nyingi, ungeligundua kuwa ni jambo la kawaida.

Wamekujibu hapo juu kuwa hata wakati Mkapa anaondoka madarakani, walifanya. Bush wakati anamaliza madaraka, USA pia walifanya. So this is not a big deal kabisa. Wanaweza hata kukuhusisha wewe kama ungelikuwa una umaarufu fulani kama wa Ruge/Kusaga kwa mfano.
Mkuu, sina tatizo lolote la kukubalika au kutokukubalika kwa Slaa kwa hivi sasa ukilinganisha na JK! Wala sitashangaa maoni yakisema kwamba endapo uchaguzi ukiitishwa leo, basi Dr. Slaa atamshinda JK! Ninachobisha mimi ni kwamba, haiwezekani kwa sasa Synovate imuweke JK kwenye kura za maoni wakati yeye (JK) hawezi kusimama tena kugombea urais. Na wakifanya hivyo, itakuwa ni poll isiyo na mantiki ! Ninavyokumbuka mimi ni kwamba, kura za maoni zilizokuwa zimepigwa hazikuwa za kuonesha imanbi ya wananchi kwa viongozi, bali ni nani angeweza kushinda endapo uchaguzi ungefanyika wakati wa maoni hayo!
 
Back
Top Bottom