Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Inasemekana kuwa Synovate Wamechakachua Kura za maoni walizotoa Juzi kuwa Dr.Slaa anaongoza, Source ya Mtu anayefanyakazi katika Shirika hilo alisema kuwa Kikwete pia alishindanishwa katika maoni hao lakini aliachwa Mbali na Dr.Slaa kwa 26%. Synovate waliogopa kutoa maoni ya ukweli wakijua wanawezakufukuzwa au kulitewa zengwe na serikali ya Kikwete kwa kutoa maoni hayo. Na pia inasemekana umaarufu wa Kikwete unashuka kwa kasi siku hadi siku na Synovate wanaogopa kuzitoa kwa sababu ya kuogopa serikali inawezakuwatimua.
My take: huku tunakokwenda na nchi yetu siko kuficha ukweli na kutoa uongo na kuugeuza ndio ukweli utagharimu serikali ya Magamba
My take: huku tunakokwenda na nchi yetu siko kuficha ukweli na kutoa uongo na kuugeuza ndio ukweli utagharimu serikali ya Magamba