Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Wakati wa Utawala wa Mwl. ilikuwa shida kweli kuonana na Rais Unaweza kufuatilia mazungumzo ya Edwin Mtei anavyosema hakuwa na muda wa kukutana na wawekezaji; aende wizara husika na kumalizana... Nyerere alikuwa anatoa miongozo na ifuatwa wakati waziri na wawekezaji wakijadili ...

Sidhani sasa ni Hivi... Picha na Rais - Kila kitu shwari
 
Wakati wa Utawala wa Mwl. ilikuwa shida kweli kuonana na Rais Unaweza kufuatilia mazungumzo ya Edwin Mtei anavyosema hakuwa na muda wa kukutana na wawekezaji; aende wizara husika na kumalizana... Nyerere alikuwa anatoa miongozo na ifuatwa wakati waziri na wawekezaji wakijadili ...

Sidhani sasa ni Hivi... Picha na Rais - Kila kitu shwari

Kikwete anajirahisisha sana.Hii inanipa picha kwamba kuna hidden agenda.Why should Hinks go to see the President.Mambo haya yangeishia kwenye wizara husika na TANESCO.Kwanza mtambo wenyewe umegubikwa na kashfa chungu nzima.
 
Angalau hawa wamarekani wanayo physical adress ,na kampuni inajulikana ......ss tusubiri hadith za hawa wanasiasa wetu waweke chao cha juu
 
Kikwete anajirahisisha sana.Hii inanipa picha kwamba kuna hidden agenda.Why should Hinks go to see the President.Mambo haya yangeishia kwenye wizara husika na TANESCO.Kwanza mtambo wenyewe umegubikwa na kashfa chungu nzima.
Usanii unaendelea....JK umaarufu wake ulivyoporomoka kila kamwanya kakujipandisha chat anataka akatumie bila kujali ataonekana vipi mbele ya walalahoi.Anataka aonekane mkombozi wa taifa letu kutoka katika giza (Ukosefu wa umeme)Ambapo chanzo ni yeye mwenyewe CCM na serikali yake.Ni changa jingine la macho kunakitu nyuma ya kampuni hii( Richmond,Dowans,symbion power n.k)Mitambo hii imekua KINYONGA kinachojibadilisha rangi kuchota pesa zetu za walalahoi wakati viongonzi MAFISADI wa chama TATIZO LA UMEME WAMELIGEUZA MRADI WA KUJINEEMESHA wanaendelea kutanua Richmond,dowans and then symbions power.Mitambo ile ile.Kama mitambo ni ile ile nini ilikua tatizo la Richmond?Nini tatizo la Dowans?Au kwanini serekali isinunue mitambao yake kwani mbali na kubadili majina ya wamiliki huduma inabaki kua ile ile na wizi ule ule.Kwa sababu mbali na mpango huo wa kubadili majina ya makampuni ya kua ni mpango wa mafisadi kuturubuni na kuendele kutuibia pia serikali inaingia gharama kibao kutoka mkataba hadi mkataba kulipia wanasheria na gharama nyingine kibao.JK inatosha!
 
Wakati wa ujio wa mkurugenzi wa Dowans, rais kikwete alidai kutokumtambua mmiliki huyo wa kampuni inayoidai serikari yake mabillion ya dollar.

Leo raisi huyo asiyemjua mmiliki wa Dowans amempokea mkurugenzi wa Symbion aliyenunua kampuni ya Dowans.

Je inaingia akilini kuamini maneno ya kikwete kwamba hakumjua mmiliki wa Dowans?
 
Kama hauna magamba uweze kumeza hiyo, lakini kama umejaa magamba that is an order of the day. Chama kwanza mtu baadaye.
 
Tanesco ndio bomba la maziwa kwa viongozi wa nchi hii sasa, kila wakijisikia kiu wanafungua wanachota wanakunywa wakitosheka wanaalika na wengine.
Tusubiri mpango mpya wa mgao na ongezeko la gharama za umeme.
 
Nyota ya jaha kwangu! Ngoja nifanye formalities za kuonana na Paul H nipate kusimamia angalau mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 200....kufa kufaana wakuu!!
 
Jk ni msanii na amepoteza mwelekeo,haiwezekani rais wa nchi aliapa kulinda jamhuri na watu wake,dowans waingie kihuni yeye atoe jibu jepesi kuwa haijui,amepoteza uhalali wa kutawala,he must go
 
Uyo ndo JK ola laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Next week yakitiuka tuu ataruka futi mia
 
ah aha ha huyu mzee hakika anahitaji msaada sana tena akizeeka atakuwa mbumbu sana
 
Back
Top Bottom