Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Ndugu yangu nitts,piga chinii ndito aisee.Kweli mapenzi hayana macho...
Katika hali ya kustaajabisha klorokwini ameamua kujitosa na kuzama kwenye penzi zito la sweetlady bila kujali kuwa ni mke wa nitonye na bila aibu SL ameonekana akiwa na mahusiano mengine ya wazi na Vin disiel na SL alipoulizwa alisema Nitonye yuko shamba..sasa hofu yangu ni pale watakapokutana wote je Klorokwini atapona?
Then SL atuambie nani big house, nani small house na nani House boy..!
Wanaomnyemelea SL wengine ambao maombi yao yako pending ntawataja baadae
Last edited by a moderator: