Lol....
Hongera baba mchungaji.. Umeonyesha upendo wa dhati kwa laaziz... Mapenzi ni kusaidiana kwenye shida na raha..
Swaumu imeniondolea FaizaFox wangu humu Jf, ninaikosa sana michango yake kwa wingiMzima weye? Karibu Unguja
Yale mambo yetu yapo Mchungaji tena baada ya kutua uwanja wa ndege ukifika tu hotelini mambo mswano, MTM namtafutia permanent viza ya huku ili awe anafanya biashara ya kuleta John MtembeziHahahahahaahh MTM mara ya mwisho alisikika Benghazi!
Nitatia timu yale mambo yetu yapo?
Mchungaji niko huku South Sudan nasimamia ujenzi wa lile kanisa ukimaliza mfungo wewe njoo huku
Wakuu mabibi na Mabwana!
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.
Karibuni Zenji
Wewe mbona hujanitafuta au umesahau kuwa mie niko huku siku hizi???
Hahaha!!! Dena niliona mtu kama wewe pale kwenye ikulu ya Salva Kir aisee unaajenda gani kule unataka kufanya biashara ya mafuta niniHata mie nafunga mchungaji niko Southern Sudan........................karibu pia huku
<br />Wakuu mabibi na Mabwana!<br />
<br />
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.<br />
<br />
Karibuni Zenji
Hahaha!!! Dena niliona mtu kama wewe pale kwenye ikulu ya Salva Kir aisee unaajenda gani kule unataka kufanya biashara ya mafuta nini
Roger that mkuuHahahahah nyie Makobe mnafaudu sana! Nina kiu ya ile kitu balaa...siku haziendi kabisa! Karibu bwabwa la Iftar
Umenisoma kwa PM?
Sawa baba mchungaji,kwa nini usimwite sheikh mkamaliza kabisa nawe uingie huko kwa bibie?Maana nahisi uzalendo huwa unakushinda mida fulani.Wakuu mabibi na Mabwana!
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.
Karibuni Zenji
Mate yepi Ustaadhi!