Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Wakuu mabibi na Mabwana!
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.
Karibuni Zenji
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.
Karibuni Zenji