Swaumu ni neno la mojamoja lililo toholewa toka katika kiarabu, sio kwakuwa hakuna neno la kiswahili la mbadala ila kama ziada ya kukazia tukio kwa uasili wake; Kiswahili cha kawaida kingeuita "kufunga". Kama ambavo theologia ya waingereza haikuita 'closing' ikaita 'fasting' hivyo hivyo uislaam unapendelea kuita Swaumu ili kutia uzito stahiki watendo lenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.