Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Sijui kama unajua watanzania wanataka nini, mabadiliko tunayotaka siyo ya vyeo kwamba katoka Slaa kaingia Lowassa hapana.
Watanzania tunataka mabadiliko katika maisha, elimu, afya, chakula bora, Miundombinu, utawala bora, freedom of expression, amani, maendeleo, nk.
In general watanzania wanataka maisha bora haijalishi nani atayaleta.
Tulisubiri mabadiliko hayo kwa zaidi ya miaka 50 tukidhani chama tulichokipa dhamana kitatuongoza kuelekea huko lakini hatuoni mabadiliko yeyote, ndiyo maana tumeamua kuwapumzisha tuweke walio na dhamira ya mabadiliko ya kweli watuongoze tunakotaka.
Watanzania tunataka mabadiliko katika maisha, elimu, afya, chakula bora, Miundombinu, utawala bora, freedom of expression, amani, maendeleo, nk.
In general watanzania wanataka maisha bora haijalishi nani atayaleta.
Tulisubiri mabadiliko hayo kwa zaidi ya miaka 50 tukidhani chama tulichokipa dhamana kitatuongoza kuelekea huko lakini hatuoni mabadiliko yeyote, ndiyo maana tumeamua kuwapumzisha tuweke walio na dhamira ya mabadiliko ya kweli watuongoze tunakotaka.