MM
Maswali yako haya ni ya msingi sana na yanaamsha akili za wanasema wana akili na ni washabiki wa mabadiliko.
Hebu tufikiri zaidi; ukimtaka lowasa unamtaka kama rais na mwenyekiti wa CCM. unamtaka mweyekiti wa CCM lakini huitaki CCM.
unatetea upinzani halafu unaukata kichwa ili upachike kichwa kutoka CCM. Mzee Mwanakijiji nakushukuru.
Ben Saanane umechangia vizuri sana kwa maoni yangu.
Kumekuwepo na jitihada nyingi za watu kumtaka Lowassa kuwa Rais ajaye. Wengine wamefikia mahali pa kutuambia kuwa ati yeye ndiyo anafaa sana na kuwa ni "mfuatiliaji mzuri". Na tayari tumeona watu wakijitokeza wazi na kujiita ni "marafiki wa Lowasa" na wanafanya kila jitihada ili aingie Ikulu. Swali langu kwa mumpendao Lowassa; mnamataka yeye kama yeye tu au yeye na CCM yake - maana akigombea atakuwa mgombea wa CCM na atakuja na chama chake kile kile cha miaka zaidi ya hamsini. Au haijalishi kwenu anakuja vipi alimradi anakuja?
Ni kama watu ambao wanaulizwa je "Unamkataa shetani" wanasema "Ndio tunamkataa"; "Na Mambo yake?" "Ndiyo twayakataa"; "Na ahadi zake zote" "ndio twazikataa". Kwa Lowassa swali hili linapaswa kwenda kinyume chake. Je mnamkata Lowassa? na Ahadi zake zote? Na mambo yake Yote? N Chama chake chenye sera zile zile? au wenzetu wanamkata yeye tu bila kujali atakuja vipi?
Sisi wengine tulishamkataa na hatujaona bado sababu ya hata kumfikiria kumkubali.
Nikiangalia watu wanao msuport lowassa nakuwa scared . Akipata urais si watz watakufa njaa? yaani mpaka yeye na wao warudishe pesa zao, watz watakuwa washa starve ... Forbid!
Kumekuwepo na jitihada nyingi za watu kumtaka Lowassa kuwa Rais ajaye. Wengine wamefikia mahali pa kutuambia kuwa ati yeye ndiyo anafaa sana na kuwa ni "mfuatiliaji mzuri". Na tayari tumeona watu wakijitokeza wazi na kujiita ni "marafiki wa Lowasa" na wanafanya kila jitihada ili aingie Ikulu. Swali langu kwa mumpendao Lowassa; mnamataka yeye kama yeye tu au yeye na CCM yake - maana akigombea atakuwa mgombea wa CCM na atakuja na chama chake kile kile cha miaka zaidi ya hamsini. Au haijalishi kwenu anakuja vipi alimradi anakuja?
Ni kama watu ambao wanaulizwa je "Unamkataa shetani" wanasema "Ndio tunamkataa"; "Na Mambo yake?" "Ndiyo twayakataa"; "Na ahadi zake zote" "ndio twazikataa". Kwa Lowassa swali hili linapaswa kwenda kinyume chake. Je mnamkata Lowassa? na Ahadi zake zote? Na mambo yake Yote? N Chama chake chenye sera zile zile? au wenzetu wanamkata yeye tu bila kujali atakuja vipi?
Sisi wengine tulishamkataa na hatujaona bado sababu ya hata kumfikiria kumkubali.
Kama wewe umemkataa kivyako sie unatutakia nini.si lazma wote tumkubali hata yesu hakukubaliwa na wote.so kula time zako kivyako wengine tumtake kivyetu.
Mlimkataa kwa vigezo gani? Watu hawataki kuona dhulma anayoendelea kufanyiwa ... Ilibainika pasipo shaka kuwa Hakuwa na interest kwenye Richmond! Imebainika kuwa Beneficiaries wa ESCROW ni wale wale mahasimu wake! Wenye kupiga deals za sukari, wenye kufaidi misaada ya Ghadaffi na Change ya Rader ni wale wale... Kama lowassa hafai tuelezeni categorically kuwa amefanya A, B, C ... Sula la Imani moja ya dini kujiona kuwa wao ndo wenye hati miliki ya nchi hii haikubaliki? kwanini wao tu? Miaka 50 wameifanyia nini nchi hii? Wengi wetu tunaamini kuwa Lowassa pekee ndo mwenye uwezo wa kuwapa watumishi goi goi red card on the spot ... hawa wenye kulia lia hawajaweza kuwasaidia wananchi ... Zaidi ya yote Uongozi wa JK umepwaya baada EL kujiuzulu, Unajua kwa nini? ...
Lowassa is enough,nyie ccm,akina nape,paulo makonda na mafisadi wengine ongeeni vyovyote ila hamuwezi kuzuia UkomboZi.Lowasa ni Mpango wa Mungu
Nanusa UKKKT Hapa , zinduka dini haimpi mtu hulali wa kuwa anafaa hata kama hafai
Sikupata kufikiri kama nawe unaweza kuwa mpuuuuuuuzi kiasi hiki
Ndugu yangu mwanakijiji,nakushauri uwe na contents zakitaifa zaidi kuliko kuwa kama mwanachama wa chama flani.Mimi binafsi sioni Tatizo kwa lowassa na chama chake.Hakuna chama ninachokiona kama kina manatatizo bali niwatu walio ndani ya vyama hivi,Nawapo tu katika kila chama.SWALA LAMSINGI NIKIONGOZI GANI ATATUWAKILISHA VIZURI,KUTULETEA MAENDELEO MAZURI HASA YAKIUCHUMI.AKITOKA KATIKA CHAMA CHOCHOTE LAKINI ANATUFAA BASI NA ACHAGULIWE.SASA BASI KAMA MWANDISHI MAHIRI AKASHINDWA KUONA JAMBO MOJA NA ZURI(KIONGOZI BORA AKABAKI KICHAMA LAZIMA UWE NA TATIZO TENA SIO DOGO.NIKUBWA MNO),NA BASI MITIZAMO YAKO ITAKUWA YAMASHAKA.VYAMA VYOTE VINAONGOZWA NAWATAZANIA HAO HAO NA TENA WOTE WAMETOKA KATIKA CHAMA CHA CCM.KWA HIYO MIMI NAWAONA KAMA WALEWALE.ASANTE
Nanusa UKKKT Hapa , zinduka dini haimpi mtu hulali wa kuwa anafaa hata kama hafai
Sikupata kufikiri kama nawe unaweza kuwa mpuuuuuuuzi kiasi hiki