nxon
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,162
- 406
unajua kuact jombaaMuheshimiwa spika, kwanza nashuku kwa kuniona na kunipa nafasi ya kuuliza maswali mawili ya nyongeza.
1. Kwa kuwa mawaziri hao wamekubali kuwajibika na kwa kujiuzuru. Je, serikali inampango wa kuwashtaki na kutaifisha mali zao zote?
2. Kwa kuwa mawaziri hao wamejipima wenyewe na kuamua kumwokoa waziri mkuu, Je, lile zoezi la kupiga kura kutokuwa na imani na waziri mkuu liendelee au lisitishwe?
Muheshimiwa naomba mwongozo.