Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Ni lazima kwa kila MwanaCHADEMA kumuunga mkono Lowassa kama mgombea Rais? Ni lazima kwa kila mwana CCM kumuunga mkono Magufuli? Mwana CCM atakayempigia kura Lowassa CDM ana tofauti gani na Mwana CDM atakayempigia kura Magufuli CCM? Hasa kama wote wanaamini kuwa uchaguzi mgombea aliyepitishwa na vyama vyao hakuwa sahihi?
Hili ni swali lenye kuhitaji jibu kwani linaweza kuwa tofauti ya kushinda au kushindwa kwa mgombea mmoja.
Hili ni swali lenye kuhitaji jibu kwani linaweza kuwa tofauti ya kushinda au kushindwa kwa mgombea mmoja.