Swali la kizushi

kama wakipendana mimi si Mungu kufanya pingamizi,isitoshe kutoga sikio haina impact ya kunifanya nimkatalie!ila kama anavaa hereni nitamshauri kuacha
 
Hereni style tu mkuu kuna wanaume hawavai vipuri ila wanaliwa kiboga!!!!usimjudge mtu kwa muonekano!!!!
 
Sasa kama mwanao kampenda wewe utafanya nini? Hata usipomuozesha hautaweza kuvunja mahusiano kwani wameshaamua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom