John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Hivi unaweza kumuozesha mwanao kwa mvulana aliyetoboa sikio?
kweli lugha imekua pana, kuna swali la kizuri na swali la kizushi?
ndio, wanawowana wao, sio mzazi.
maweee kweli ndio nimeaminia. ndio maana mnataka kumpa urais huyu mzazi kumbe watanzania wennyewe wapo hivikama wakipendana mimi si Mungu kufanya pingamizi,isitoshe kutoga sikio haina impact ya kunifanya nimkatalie!ila kama anavaa hereni nitamshauri kuacha
Hivi unaweza kumuozesha mwanao kwa mvulana aliyetoboa sikio?
kuvaa hereni sio kesi