CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,257
- 12,876
- Thread starter
- #21
Hakuna anayefundishwa kuishi na mke au mume kwa siku moja (kitchen party). Tabia ya mtu inatengenezwa na life experience.
Ndio maana unakuta wa mkoa fulani wako hivi na wa mkoa fulani wako vile...wanaiga matendo ya baba na mama zao...walimu wa dunia
mamie sijamaanisha kitchen party ama beg party. ninachouliza hapa ni wakati mdada/mkaka anajiandaa kuolewa/kuoa. je wazazi / walezi huwa wanafundisha ni jinsi gani wanatakiwa kuishi na wake / waume zao????