Mtoto wa Samia, Abdul - Halim Hafidh Ameir ameandikwa ni National delegate.
Swali la kujiuliza huyu mtu ni National delegate kutoka taasisi ipi?
Hii ni serious state capture.
Hapo president office hujaona mkuu....acheni watumishi nao wale mema ya nchi ingawaje sijaona hapo wizara ya elimu ikimaanisha kwamba walimu wamewekwa kando kwenye huu ulaji.