Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Eneo letu lina mchoro wa kina uitwao TP Drawing No 1195 iliyopitishwa tarhe 19 Oktoba 1996, na ambao umekuwa ikitumika kupima viwanja eneo hili. Hivi karibuni wamejitokeza watu kutoka Wizara ya ardhi wanandai hawaitambui TP Drawing hiyo na wanapima viwanja juu ya viwanja vingine vyenye offer na hata hati miliki kwa madai eti huu ni mradi.
Nauliza kutoka kwa watu wenye taaluma ya mambo haya, Je hii ni sawa? Nini maana ya mchoro kupitishwa ikiwa baadhi ya watu au taasisi zitadai haziutambui? Je ni hatua zipi wananchi tunaweza kuchukua/
Nauliza kutoka kwa watu wenye taaluma ya mambo haya, Je hii ni sawa? Nini maana ya mchoro kupitishwa ikiwa baadhi ya watu au taasisi zitadai haziutambui? Je ni hatua zipi wananchi tunaweza kuchukua/