Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,206
- 1,029
Yule ambae anatoa chozi na kunililia kwa uchungu na yupo tayari kufa juu yangu lol
acha ujinga wewe!!! atoe roho yake kwa ajili yako kwani wewe mzazi wake? period!!
Yule ambae anatoa chozi na kunililia kwa uchungu na yupo tayari kufa juu yangu lol
kufa kwaajili ya mzazi na kwaajili ya mtu unaempenda ni vitu viwili tofauti......Unaona ajabu kwani hujaona au hujasikia wanaojitoa mhanga kwaajili ya wawapendao... but inategemea na situation simaanishi kujinyonga!!!acha ujinga wewe!!! atoe roho yake kwa ajili yako kwani wewe mzazi wake? period!!
lol haya :wink2:I want him more akiwa hai, akifa nitakonda kwa ajili yake.
Onyo: msiwape utamu wa kuwaua watu wenu.