hawasikiiTuliwaambiaje kuhusu kuoa?
Mbona wabishi sanaaaa?
#YNWA
Ngoja watupe majibu kwanza Mkuu.KATAA NDOA ndoa ni utapeli
Umeoa Mkuu?Oya We Umesahau Jobtrue True Inamaniisha Hata Mke Wako Unaweza Msahau Ukaenda Chovya Kwingine
Hatari sana Mkuu.Ndoa nimkataba wa kitapeli
Sawa Mkuu, nimepata jibu kuwa huwa mnachokana.Inatokea sana tu ila inabid kuzuia hii hali ya kumchoka mwenzio
Hata kama umemchoka uwe unaandaa hata Siku moja kwa wiki ya kumshushia kitomb o cha maana
Kemea pepo
Ndio mkuu kwenye ndoa kuna upungufu wa hisia ila watu wanachanganya wanaita upungufu wa nguvu za kiume ni kwamba unamuona wa kawaida ila ukitoka nae nje watu ndio wanasema umeoa pisi kali ila mwanaume anaona kawaida.Hivi ni kweli kwamba mkiishi kwa muda mrefu huwa mnachokana hata kama mnapendana kweli?
Yani naamanisha kuwa, kuna muda unatamani kutoka nje ya ndoa kwa kumkinai mwenza wako na kutaka vitu vipya.
NAOMBA MTUJIBU HILO SWALI SISI MABACHELOR.