Habari Wakuu. Naomba niwaulize Wananchi wa Jimbo la Kawe: Mh Gwajima.(Mbunge) alitekeleza ile ahadi yake ya kuwanunulia Boti ya uvuvi vijana wa Jimbo hilo??
View attachment 2973496
Yupo mchungaji Msigwa wa Chadema 🐼Ndiyo siasa za Bongo hizo .... ni UONGO UONGO tu. Usipokuwa muongo hufanikiwi.
Hapo hapo bado kuna ile ahadi ya kuwapeleka wana Kawe Birmingham.
Hivi kuna Mchungaji MUONGO kuliko huyu Bwana kwa Tanzania yetu ....!!?
BORA MNGEMCHAGUA YULE ALIYEKAMATWA KWA KUWAPIGA PICHA CHAFU VIONGOZI ANGEWAPIGA NA NYIE WAPIGA KURA WAKEHabari Wakuu. Naomba niwaulize Wananchi wa Jimbo la Kawe: Mh Gwajima.(Mbunge) alitekeleza ile ahadi yake ya kuwanunulia Boti ya uvuvi vijana wa Jimbo hilo??
View attachment 2973496
Swali: Hivi kuna Mchungaji muongo kuliko huyu bwana kwa Tanzania yetu?Kwani yeye ndio Mbunge wa Iringa mijini?