Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
shosti lara 1 umesema kwel tupu wanaume wa kibongo hupretend kuwa wapole and caring b4 kula mzigo, ukilogwa ukampa soon umeliwa macare yote kwishney hata phonecalls zinastop ,yan wao wanajal asal yako kuliko wewe mwenyewe so the best thng 2do ni kuwaweka pending!
Wanahangaikia sana hiyo kitu na ndo maana baada ya kukipata wanajikuta kwenye dilema kuamini kama kweli hicho tu ndo wametumia efforts kubwa na resources kibao kukitafuta....Lol!!