CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Baba Askofu, Bwana Asifiwe.
Kama sikosei Mahakama kuu ya Tanzania, Arusha ilitoa amri kuwa Askofu Hotay asiwekwe wakfu mpaka hapo pingamizi lililowekwa na waumini wawili lipatiwe ufumbuzi.
SWALI:
Baba Askofu, hukutekeleza amri halali ya mahakama. Je, na wewe ukitoa amri/wito/maagizo kwa walio chini yako/ waumini wako, waikatae? UMEWAFUNDISHA NINI WAUMINI WAKO KUHUSU UTII?.
AMRI YA BWANA YESU INAYOSEMA "YAHESHIMU MAMLAKA ILIYOPO" TUNAITEKELEZA?
Kama sikosei Mahakama kuu ya Tanzania, Arusha ilitoa amri kuwa Askofu Hotay asiwekwe wakfu mpaka hapo pingamizi lililowekwa na waumini wawili lipatiwe ufumbuzi.
SWALI:
Baba Askofu, hukutekeleza amri halali ya mahakama. Je, na wewe ukitoa amri/wito/maagizo kwa walio chini yako/ waumini wako, waikatae? UMEWAFUNDISHA NINI WAUMINI WAKO KUHUSU UTII?.
AMRI YA BWANA YESU INAYOSEMA "YAHESHIMU MAMLAKA ILIYOPO" TUNAITEKELEZA?