Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
hahahaha!BORN TO BRING LADIES TO THE WORLD!me & bwasheeHahaha! Sisi ni wataalam wa kuleta warembo duniani. Tumebarikiwa kwa hilo bwashee.
hahahaha!BORN TO BRING LADIES TO THE WORLD!me & bwasheeHahaha! Sisi ni wataalam wa kuleta warembo duniani. Tumebarikiwa kwa hilo bwashee.
unataka kuvunja ndoa za watu weye. Haya turudi kwenye mada. we ungekuwa hujaolewa, afu dalili ya midume kukufukuzia hamna. afu mambo flani unataka kabinti na fweza si matata. Kweli utaacha kutafuta kaserengeti boy ka1 kakupandishe mstima ulete kabinti duniani? Acha kuzuga, sema ukweli.
Mkuu GP achana kabisa mm niliombwa mbegu hivyo hivyo sasa nalazimika kukitunza kiumbe
GP umekosea hujasifu huyo bibi anaetaka mtoto ni BOMBA KIASAI GANI! lol
maana najua kwa wengi itategemeana na uzuri wake ....lol
all jokes aside, hiyo si biashara nzuri hata kidogo! leo mtasema mtoto lakini kuna siku atakuwa mkubwa na atakuwa mtu mzima na hisia zake, na ama atachukia baba yake kwa kumzaa na kumtelekeza au atamchukia mama yake kwa kuwa mbinafsi kiasi cha kumkosesha maisha na baba yake au jamaa za baba zake.
Mpwa GP mm nilikataa kata kata lakini akanitegeshea mzee akanasa kitu akaniambia mm nikawa mgumu akasema kama tutaachana nitakuwa nimemwachia copy ebwanee ukawa mzigo wangu kuulea mzigo wa mimba na kiumbe chenyewe mpaka sasa natoa pesa mfukoni wkt makubaliano yetu hayawakuwa haya.
Binafsi nilshasema nitajitahidi kwa kadri niwezavyo nisizae nje ya ndoa,no mattaer what.Kwa hiyo huyo mdada hata akija na FFU,akioana haitoshi akalete na JWTZ siwezi kukubali.Nimekuwa victim wa kuzaliwa nje ya ndoa and I know how it taste na mbaya zaidi inaendelea kunicosti mpaka hii leo.Hili suala inabidi mtu ufikirie mara mbilimbili,kuna hatari huyo mtoto akawa anakulaani kila kukicha.