GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
mabinamu na wapwa salaam!,
nimekuja kivingine sio kama GP wa juzi, sasa ni GP mpya.
ebana wapwa na mabinamu hivi mfano unakutana na mwanamke anakwambia mfano 'Chrispin wewe ni handsome sana, nimependa niwe na mtoto wa mbegu yako', yani anataka umzalishe katoto kamoja tu gharama zote ni kwake kuanzia kuzaliwa mpka univasite kila kitu. huyo mama yeye ni single, yani hana mume kutokana say na biashara zake na status aliyonayo umr umekwenda hajapata mume, ukishazalisha basi biashara inakwisha, hapa mabinamu na wapwa mnazungumziaje??
nimekuja kivingine sio kama GP wa juzi, sasa ni GP mpya.
ebana wapwa na mabinamu hivi mfano unakutana na mwanamke anakwambia mfano 'Chrispin wewe ni handsome sana, nimependa niwe na mtoto wa mbegu yako', yani anataka umzalishe katoto kamoja tu gharama zote ni kwake kuanzia kuzaliwa mpka univasite kila kitu. huyo mama yeye ni single, yani hana mume kutokana say na biashara zake na status aliyonayo umr umekwenda hajapata mume, ukishazalisha basi biashara inakwisha, hapa mabinamu na wapwa mnazungumziaje??