Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 858
- 508
Jamani nimeona net cash flow ya hii company kuwa ni negative miaka yote. Inawezekana madeni ni makubwa. Je hisa zao zawezalipa kweli au ni kulipia madeni tu...naomba msaada kitaalama
Mimi nafuatiliaga sana ila kuna m2 ni accountant amesoma hayo mavitabu yao akanishauri nisinunue hazitalipa sa sijui labda maaccountant wengne na wao watupe mitazamo yao?
Dah wife ananishauri tununue hizi hisa..wanawake kaazi kweli wanafikiria kiaina! Namweleza prospectus cielewi jamaa wamenichanganya mno...i will consult my financial person
Sijaweza kuona hizo statement niko mbali kidogo.
Ushauri,
PW kuwa na -ve cash flows (kama ni kweli) si jambo baya, cha msingi angalia hizo -ve zililetwa na nini? Kawa walitumia pesa nyingi kufanya investment eg kununua ndege mpya then this is a good deal for the future. The better future of the company comes from their investment and operational activities. Kuwa na mapesa mengi yaliyolala benki ni uzembe kitaalam na hiyo kampuni inakuwa haina future plans.
So angalia kama walizalisha pesa na wakainvest. Lakini kama hawakuzalisha pesa na hakuna investments au walikopa kulipana mishahara then u can doubt.
Mwenye soft copy aweke hapa tupeane ushauri zaidi
Jamani nimeona net cash flow ya hii company kuwa ni negative miaka yote. Inawezekana madeni ni makubwa. Je hisa zao zawezalipa kweli au ni kulipia madeni tu...naomba msaada kitaalama