Chukua average hapo ya 4.5 na 2.6 then ukipata above 3 bas umequalify kwenda mdNaomba kuuliza nimemaliza diploma ya Clinical medicine NTA level 6 nakupata GPA ya 2.6 semister one afu 4.5 semister two, kwenda MD wana angalia GPA ya semister gan au toka first year ???
Na kama unahela usihangaike na vyuo vya serikali hutoboi.....kwa gpa hio watafute kina st Francis, kampala huko..Sawa chief inakuja 3.5 kwahyo ipo vzr shukrani
Sawaaa ila kwa GPA zangu hizo mbili kukosa tatu ni ngumuNenda nacte wakupe transcript. Hapo ndo utaona umesimama wapi. Vyuo vya clinical medicine hesabu zao ni za kiboya. Unaeza kupiga calculation yako af ukienda nacte kuchukua transcript ukajikuta uliuza bunduki ukanunua rungu.
Ili ujie fyucha yako pata transcript, ukiona haujatoboa GPA ya 3 and above, usihangaike, tafuta spika ya mkono uza sumu ya panya au ingia kwenye mfumo ukatupwe ifilandama kijijini
OkHuko ndio naenda sina mpango na serikalini