Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I thought bina adamu mashoga na wasagaji wanaweza kujifunza maisha ya uhusino naturally yanavyotakiwa kuwa kutoka kwa wanyama. Sasa kama na wanyama wapo mashoga na wasagaji kaziiii ipo.
Dolphins wao pia wana hiyo tabia ya ushoga, infact hata kuku na ndege maana kuwa nashundwa kujua kwa mfano kuku huwa anagonga ana anakula tiGO? maana nimeshachunguza sana kuku sioni nananii yake naona kijambio tu!
teh teh:redfaces:Dolphins wao pia wana hiyo tabia ya ushoga, infact hata kuku na ndege maana kuwa nashundwa kujua kwa mfano kuku huwa anagonga ana anakula tiGO? maana nimeshachunguza sana kuku sioni nananii yake naona kijambio tu!
Homosexuality hata kwenye wanyama ipo
Ukiondoa Binadamu( Homo sapiens) kuna jamii yeyote ya species katika kundi la wanyama aina ya mamalia katika mahusiano linauwezo wa kujihusisha na Ushoga au usagaji.?
I mean kuna species yeyote katika mamalia zaidi wanaweza kuwa homo/Bi sexual na sio Straight?
Nawasilisha kwa mjadala na majibu