Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Nahisi inapoelekea sasa rushwa itatuvua nguo
kwa wale wapenda michezo nafikiri ni wakati muafaka sasa wa kuwam makini kama tunataka kuwa na timu nzuri ya taifa...nakumbuka nililalama sana kipindi fulani viongozi wa maji maji walikamatwa nkwa kutoa rushwa matokeo yake viongozi wakaishia kufungiwa miezi kadhaa...nikamuuliza mwakalebela ndugu yangu kipindi hicho iweje mnapindisha sheria za tff..amjui akaitokea mwingine anakuja kunukuu mlichomfanyia waterwater..leo hii kwa sheria za tff atukutakiwa kuwa na majmaj ligi kuu
swala la ulimboka mwakingwe hili si la kuachia wazi..watu wamelalamika sana mechi za simba na yanga waamuzi wananuliwa tff ikakaa kimya sasa leo hii wachezaji wameanza kununuliwa tunapeleka wapi soka letu jamani??je ni tenga tff imekushinda ama??
Leo hii viongozi wanapiga makocha wanaachwa...nilitarajia viongozi wa kagera kupewa adhabu kali ya kuheshimu watu uwananjani lakini akuna kipya ni ule ule upupu wakina ndolanga sasa umehamia kwa tenga
nadhani imefika tuwe na mpira wa kudhamiria na si bora timu..hivi majuzi nimejua kwa nini tukienda klabu bingwa tunaishia kuagiza tea cofee kwenye ndege na kurudi kama tulivyoenda...ni huzuni kubwa na ya kusikitisha...waziri husika nilifikiri wakati huuu ambao mhusika aliepelekewa akikiri ulimboka alitaka kumpa acheze kiwango duni ni wakati muafaka wa kutafuta wakina ulimwombka tupunguze makelele ya waamuzi...
Leo hii nimejua kwa nini timu za simba na yanga na azam zimanza kulalama adharani ili hali wakijua timu za sasa ziongeki nafikiri wameanza kuwa na kichaa ...sitashanga kusikia idelphonce amlima akipewa jukumu la kuwahonga wachezaji wa simba..kumradhi kaka nimekutumia kwa kuwa ulikuwa bora kiwanjani na sibora mchezaji..naona simba wanajitete walimfukuza jamaa oohh sijui akuondoka kwa amani amani ipi wanayotaka atoke dar mpaka moro yeyey ana kichaa jamani
mkuu hosea tunaomba rushwa sasa ianze kupungua hata kama itachukua muda kuisha basi iishe kwenye vizazi vya wajukuu vyetu tukiwa hai...
kwa wale wapenda michezo nafikiri ni wakati muafaka sasa wa kuwam makini kama tunataka kuwa na timu nzuri ya taifa...nakumbuka nililalama sana kipindi fulani viongozi wa maji maji walikamatwa nkwa kutoa rushwa matokeo yake viongozi wakaishia kufungiwa miezi kadhaa...nikamuuliza mwakalebela ndugu yangu kipindi hicho iweje mnapindisha sheria za tff..amjui akaitokea mwingine anakuja kunukuu mlichomfanyia waterwater..leo hii kwa sheria za tff atukutakiwa kuwa na majmaj ligi kuu
swala la ulimboka mwakingwe hili si la kuachia wazi..watu wamelalamika sana mechi za simba na yanga waamuzi wananuliwa tff ikakaa kimya sasa leo hii wachezaji wameanza kununuliwa tunapeleka wapi soka letu jamani??je ni tenga tff imekushinda ama??
Leo hii viongozi wanapiga makocha wanaachwa...nilitarajia viongozi wa kagera kupewa adhabu kali ya kuheshimu watu uwananjani lakini akuna kipya ni ule ule upupu wakina ndolanga sasa umehamia kwa tenga
nadhani imefika tuwe na mpira wa kudhamiria na si bora timu..hivi majuzi nimejua kwa nini tukienda klabu bingwa tunaishia kuagiza tea cofee kwenye ndege na kurudi kama tulivyoenda...ni huzuni kubwa na ya kusikitisha...waziri husika nilifikiri wakati huuu ambao mhusika aliepelekewa akikiri ulimboka alitaka kumpa acheze kiwango duni ni wakati muafaka wa kutafuta wakina ulimwombka tupunguze makelele ya waamuzi...
Leo hii nimejua kwa nini timu za simba na yanga na azam zimanza kulalama adharani ili hali wakijua timu za sasa ziongeki nafikiri wameanza kuwa na kichaa ...sitashanga kusikia idelphonce amlima akipewa jukumu la kuwahonga wachezaji wa simba..kumradhi kaka nimekutumia kwa kuwa ulikuwa bora kiwanjani na sibora mchezaji..naona simba wanajitete walimfukuza jamaa oohh sijui akuondoka kwa amani amani ipi wanayotaka atoke dar mpaka moro yeyey ana kichaa jamani
mkuu hosea tunaomba rushwa sasa ianze kupungua hata kama itachukua muda kuisha basi iishe kwenye vizazi vya wajukuu vyetu tukiwa hai...