Karia anapambana ili Simba ipangiwe Petro de Luanda

Muite

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
2,344
4,802
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Huna akili
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
HUNA AKILI.
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Ficha ujinga wako basi japo kidogo tu. Unadhani wanapanga kama nyanya?

Vigezo ni hivi hapa
1. Timu zilizokuwa kundi moja hazikutani katika hatua ya robo fainali
2. Kunakuwa na vyungu viwili (pot). Pot moja ni washindi wa kwanza kila kundi na Pili ni washindi wa pili kila kundi. Hapa sasa mshindi wa kwanza atakutana na mshindi wa pili kundi jingine. Mechi itaanza nyumbani kwa mshindi wa pili itamalizika mkondo wa pili kwa mshindi wa kwanza.
3. Droo itachezesheshwa toka pot ya kwanza kupata mshindani pot ya pili kwa kuzingatia vigezo hapo juu.

Sasa Karia anaingiaje hapo?

Yaani kweli ww ni chura lialia wa matopeni utopolo mkubwa jini wahedi wewe
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Nyie ndo mnafanya Haji Manara atutukane kuwa kwetu wenye akili ni wawili tu. Umeandika jambo la hovyo hata sisi wenzio tunaona aibu kuunga mkono.
 
Back
Top Bottom