Nimesikia kuwa kwenye Chadema kuna kasheshe kubwa ya kumpata mgombea Urais mwaka huu. In fact, wazee wa chama hiki wanaombea kigogo atoke CCM kutoka miongoni mwa Wabunge maarufu au viongozi wastaafu ili wampe nafasi ya kugombea Urais kupitia Chadema.
Wale viongozi wawili wakuu wa Chadema -- Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dk. Wilbrod Slaa -- wanakwepa kugombea Urais 2010 kwa vile Rais Jakaya Kikwete ana uhakika mkubwa wa kushinda (this is sad but true.)
Hivyo Freeman Mbowe kaamua kujitosa Bungeni kupitia jimbo lake la zamani la Hai na Dk. Wilbrod Slaa ameamua kutetea jimbo lake la Karatu. Hakuna aliyekuwa tayari kuacha nafasi ya kuwa Mbunge kwa kushindana na Kikwete kwenye mbio za Urais kwani wanaona kuwa its a losing battle kutokana na mazingira yaliyopo sasa hivi Tanzania.
Ingekuwa Zitto Kabwe kafikisha umri wa miaka 40 kama Katiba ya Tanzania invyotaka, basi angekuwa na njia nyeupe ya kuwa mgombea Urais wa Chadema 2010.
Kwa ufupi, swala la mgombea Urais Chadema ni kimeo!
Wale viongozi wawili wakuu wa Chadema -- Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dk. Wilbrod Slaa -- wanakwepa kugombea Urais 2010 kwa vile Rais Jakaya Kikwete ana uhakika mkubwa wa kushinda (this is sad but true.)
Hivyo Freeman Mbowe kaamua kujitosa Bungeni kupitia jimbo lake la zamani la Hai na Dk. Wilbrod Slaa ameamua kutetea jimbo lake la Karatu. Hakuna aliyekuwa tayari kuacha nafasi ya kuwa Mbunge kwa kushindana na Kikwete kwenye mbio za Urais kwani wanaona kuwa its a losing battle kutokana na mazingira yaliyopo sasa hivi Tanzania.
Ingekuwa Zitto Kabwe kafikisha umri wa miaka 40 kama Katiba ya Tanzania invyotaka, basi angekuwa na njia nyeupe ya kuwa mgombea Urais wa Chadema 2010.
Kwa ufupi, swala la mgombea Urais Chadema ni kimeo!