Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Kila mdada ninae kutana nae maeneo ya mlimani city anajifanya ana swagga za kimarekani,swagga zenyewe zko kwenye ki-inglishi,yan ukimsemesha tu utackia anakumwagia slang za kufa mtu as if tuko kule brooklyn-new york...cha ajabu ukimtupia maneno kumi mfululzo ya english anarudi mwenyewe kwenye kiswahli,sa najiulza wengi wao pale huwaga wanaenda kununua vitu au wanakua wako mawindon?