Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
nimekosea njia
chit chat na MMU ni ndugu LAT.
nimekosea njia
wanarushwa kama wamekalia tuthipik
Kila mdada ninae kutana nae maeneo ya mlimani city anajifanya ana swagga za kimarekani,swagga zenyewe zko kwenye ki-inglishi,yan ukimsemesha tu utackia anakumwagia slang za kufa mtu as if tuko kule brooklyn-new york...cha ajabu ukimtupia maneno kumi mfululzo ya english anarudi mwenyewe kwenye kiswahli,sa najiulza wengi wao pale huwaga wanaenda kununua vitu au wanakua wako mawindon?
unakutana na mtu akitaka kutembea anahesabu ili asikosee step 1,2,3 anaanza kutembea
utadhani step za kwaito
Kila mdada ninae kutana nae maeneo ya mlimani city anajifanya ana swagga za kimarekani,swagga zenyewe zko kwenye ki-inglishi,yan ukimsemesha tu utackia anakumwagia slang za kufa mtu as if tuko kule brooklyn-new york...cha ajabu ukimtupia maneno kumi mfululzo ya english anarudi mwenyewe kwenye kiswahli,sa najiulza wengi wao pale huwaga wanaenda kununua vitu au wanakua wako mawindon?
Hahahaaa umenichesha sana.. Unweza kudhani mtu anajiandaa kucheza Kwaya..
lol...
Niliimisije jf?
Mlimani city pale ndio pa kuuzia nyago!
Una simu toleo jipya nenda kajisho pale..
Umesagula au umetumiwa kimini chako hujiami kupita nacho huku uswazi kwetu we tinga kajioneshe pale.
Na engagement ring nayo ni fashen mlimani siti,mdada kama hana ataenda kuomba ya wifiake!
Kama umewahi kusimama kwny foleni za atm ndio utaona mengi,
loh,sijui kwanini nmb wamehamishia nje wateja wanakosa show.