Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
kwani wewe umeona table hapo?no table manners!
no table manners!
ndio itakavyokuwa chadema wakiingia madarakani
Ahahahahaaaah!Hiyo mifupa(mbavu) sio kiti moto kweli? na walaji wako ndani ya kanzu....inaonekana kama ni ofisi ya mtu maana kuna carpet la nguvu na mahotpot hayo...Manji nini?
Mhhhhhh... no comment.....:nono:
:kiss:Hiyo mifupa(mbavu) sio kiti moto kweli? na walaji wako ndani ya kanzu....inaonekana kama ni ofisi ya mtu maana kuna carpet la nguvu na mahotpot hayo...Manji nini?